Kumbe Hassy Kitine alikuwa Muislam?

Kumbe Hassy Kitine alikuwa Muislam?

Area 56

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,546
Reaction score
4,040
Nimeona akizikwaa kiislam.
Nikasema kumbe kachero wetu alikuwa sheikh. Jina lilinichanganya sana.

Naanza kuamini wazee wetu zamani walibadili majina ili wapate fursa ya kwenda shule, wengine wakanogewa na kubadili dini kabisa huko seminari kama ilivyokuwa kwa kachero mbobezi na mwanadiplomasi mahiri.

RIP Hassy Kitine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom