Natanguliza Shukrani zangu binafsi kwa senator kwa kunipa moyo wakati mambo yangu yalipokua mabaya pale tcu..and namshukuru Mungu mambo yangu mpaka kwa sasa yako pouwa ingawa nimechagua kozi sita but nime qualify tano tu that means hakuna matata hope nitachaguliwa moja wapo wa kozi hizo tano nilizo QUALIFY..!! Tuko pamoja sana wana JF
SHUKURANI KAKA..!! Tuko pamoja sana afu hivi chuo lini?
Senetor huku naona unatawala na madogo wanakupa shukrani wakati sehemu zingine wanakuponda una majibu ya kipumbavu sana hadi kuna mjumbe akaomba ujishushe cheo na kujiita kuruta as senetor hulingani nacho,,,, long live senetor
nashukuru zimekubali.ingia profile - view selection status - click here to check for eligibility utapata majibu mazuri kama ulifanya uchaguzi wa kozi stahiki. NB saver yao iko low hivyo inachukua muda mrefu sana hadi upate feedback - nimejaribu asubuhi sana nikafanikiwa kwa watu 3. Jaribu badae usiku pengine
vp,usharudi kutoka india mkuu?
UDSM, St. Joseph College of Engineering, UDOM na Ardhi
kama utachaguliwa udsm,bas wiki ya kwanza ya mwezi wa kumi ndo wanafungua,ila vyuo vyote huwa vinafunguliwa mwez wa kumi kasoro saut ambao wenyewe huwa wanafungua mwezi wa tisa.