Kumbe Chamanzi ni zaidi ya Azam

Kumbe Chamanzi ni zaidi ya Azam

Sijui lakini hii trend ya posts JF sikuhizi itabidi watu tutafute mbadala au tubaki kwenye majukwaa machache ambayo bado yako poa kama kule kwa nguli Chief Mkwawa au lianzishwe jukwaa premium kwa wasiopenda upuuzi upuuzi ambako huko post zitachujwa na qatu watachujwa sio kila kichwa samaki aingie akajaze upuuzi wake huko!
 
hii shule nimepata taarifa kuwa siku ya sherehe ya graduation kuna wanafunzi walichomana visu Mbavu za Mbwa ni kweli ?
 
Lakini ni wazee sana,kwenye yale mambo wana degree.
 
Back
Top Bottom