MIDFIELD
JF-Expert Member
- May 27, 2013
- 1,944
- 703
- Thread starter
- #21
Umenena vema mkuu, ukiwaongoza watu ambao wengi wao uwezo wao wa kuchambua mambo na kufikiri ni mdogo, hauhitaji kuwa na elimu kubwa. Kila unachowaambia wanakubali bila kuhoji. Wanaweza kuaminishwa kuirahisi kuwa video ya ugaidi imetengenezwa lakini waraka wa kumchaua fulani haujatengenezwa!
Wanaambiwa kuwa chama fulani kinajipambanua kwa kupinga ufisadi wakati Mwenyekiti wa chama hicho hicho anachukua rushwa kwa mgombea fulani ili asipige kampeni jimboni mwake apite bila kupingwa!
Hahahahaaaaa, hii ndo Tanzania na mambo yake