Kumbe bado Kabago yupo?

Kumbe bado Kabago yupo?

Joined
Mar 12, 2016
Posts
73
Reaction score
33
Kabago%2Bcover.jpg

Kabago anatambulika kama mmoja wa watu waliowezesha hiphop nchini kusonga mbele tangu akiwa mkoani Arusha na hata alipohamia Mwanza, akiwa kama msanii na mtangazaji wa redio (kwa sasa Passion Fm Mwanza).

Atakumbukwa namna alivyosaidia kwenye harakati za kimaendeleo Jijini Mwanza kupitia kazi zake za muziki na hata namna wimbo wa tatizo la umeme ulivyoleta nafuu kwa wakazi wa Jiji la Mwanza.

Kama hiyo haitoshi, mchango wake redioni ni mkubwa kwa wasanii mbalimbali hususani wanaochipukia ambapo wengi wao ambao sasa ni wanavuma akiwemo Baraka Da Prince na Young Killer, wamepitia mikononi mwake.

Kumbe bado yupo, nina hamu ya kusikiliza huo wimbo wake mpya ili kujua ikiwa bado makali yake yapo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom