Chim, Please stop!! don't hurt my feeling.dah babu ali vibrate km simu ya philips savy duh namna ile huchelewi kupata parkinson disease au stroke.
Ruksa kusema mnavyotaka ni haki yenu! kwanza hongereni kwa kutufunga, timu yenu ni nzuri ilituzidia maujanja.
hao wengine sawa!ushindwe kwa Livepool,Nasi vibonde wapo wa kuwachakaza kama arsenal, chelsea, liverpool, na wengineo si mnatuelewa muda sio mrefu ligi inaanza nas tutacheka
wengi hawajui kuwa Man U ni bonge la team na wanacheza kimkakati. Nasema hivi kwasababu kwa mpira waliocheza Barca, team nyingine ingefungwa goli 18 kwa makadirio ya chini. Kumbuka Madrid walikula mkono walipotia mguu tu.
dah babu ali vibrate km simu ya philips savy duh namna ile huchelewi kupata parkinson disease au stroke. tatizo man u walijiona bora sana kumbe kuna wajanja zaidi yao.