Kumbe Arumeru bado ni ngome imara ya CHADEMA!

Emashilla

Senior Member
May 24, 2012
138
26
chadema.jpg
Habari za hivi karibuni kuwa ngome ya CHADEMA ilisambaratishwa inaonekana kuwa hazikuwa sahihi kwa eneo la Mgadirisho, Usa-River na Meru kwa ujumla wake. Watu
wengi wa eneo hili na maeneo ya jirani wanatafuta jinsi ya kupata Kadi za CDM
Habari za ngome kusambaratishwa zimekuwa gumzo la kipekee, Arumeru Mashariki; baada ya kugundulika kuwa Ngome ya Chadema bado imara haikutikisika hata kidogo.


Nasikia sauti kila kona zikisema:


PEOPLE'S POWER!!
 
kwa kampeni iliyopigwa mwezi watatu siyo rahisi watu wabadilike kwa haraka hivyo eti kisa mwenye kiti wa tawi kahamia ccm..wakihamia kumi kwenda ccm, chadema inavuna 1600..
 
Back
Top Bottom