Emashilla
Senior Member
- May 24, 2012
- 138
- 26
Habari za hivi karibuni kuwa ngome ya CHADEMA ilisambaratishwa inaonekana kuwa hazikuwa sahihi kwa eneo la Mgadirisho, Usa-River na Meru kwa ujumla wake. Watu wengi wa eneo hili na maeneo ya jirani wanatafuta jinsi ya kupata Kadi za CDM
Habari za ngome kusambaratishwa zimekuwa gumzo la kipekee, Arumeru Mashariki; baada ya kugundulika kuwa Ngome ya Chadema bado imara haikutikisika hata kidogo.
Nasikia sauti kila kona zikisema:
PEOPLE'S POWER!!