Harafu wakawa wanapongezwa eti ndio wazalendo hao MajahiliYani hayo majangili yalikuwa yanabambikia watu kesi ambazo kimsingi wao ndio walikuwa wanazifanya. Shenz type.
Mdogo mdogo tutafika. Watakimbia nchi.Ngoma inaendelea kusukwa, ikianza kupigwa hakuna budi wote kuicheza na kuifurahia kama hii ndogo inavyopigwa sasa.
Unataka kusema Bashite 'anahaha' kwa baadhi ya Gvmnt officials kumnusuru na mkono wa sheria.??Mdogo mdogo tutafika. Watakimbia nchi.
Mama alikuwa anawachora tu. Uzuri wote wanajulikana
Nasikia anapigia simu kila mtu kujaribu Lobbying.Unataka kusema Bashite 'anahaha' kwa baadhi ya Gvmnt officials kumnusuru na mkono wa sheria.??
Hahhaa Satan CompanyBashite Malyamungu mtesaji na muuaji mkuu. Dogo alikuwa anawajambisha kuanzia wabunge, mawaziri, PM, VP, DGTISS, IGP na utopolo wote.
View attachment 1979179
Bora noth korea wana maendeleo hawa kajamba nani ndio tungekoma.Mungu ni mwema sana sana tena TZ ilikuwa ina geuka North Korea jamaa alijifanya Mungu mtu ati
Au kale kazee kaliishtuka kakaona isiwe tabu kakameza sumu? Kale kajamaa kalikuwa kajanja kama sunguraUkitazama mienendo ya wateule wake na watendaji wengine waliokuwa chini yake hasa ktk nyanja ya kuvunja haki za binadamu yakiwemo matendonya kuteka watu nyara, kupora, kubaka, kubambikia watu kesi kubwakubwa, uhujumu uchumi, wizi wa mali na mateso memgine huku ukiwahoji wanadai ni maagizo kutoka juu.
Asilimia kubwa inaonesha kama ICC wangepokea Mashtaka dhdi yake Hayati Magufuli kwa ukatili uliofanyika wakati wa uchaguzi 2020 na matukio mengine saa hizi angekuwa analia na kusaga meno Mikononi mwa Gereza la kimataifa.
Ushahidi umetimia kwa Sabaya.
Tuwasamehe au tumwachie Mungu aendelee kumwongoza mama?Yani hayo majangili yalikuwa yanabambikia watu kesi ambazo kimsingi wao ndio walikuwa wanazifanya. Shenz type.
Inawezekana kalishtukia mchezoAu kale kazee kaliishtuka kakaona isiwe tabu kakameza sumu? Kale kajamaa kalikuwa kajanja kama sungura
Tuwasamehe lakini wajitokeze hadharani wakiri kuwa hawatarudia tena.Tuwasamehe au tumwachie Mungu aendelee kumwongoza mama?
Akili fupiUkitazama mienendo ya wateule wake na watendaji wengine waliokuwa chini yake hasa ktk nyanja ya kuvunja haki za binadamu yakiwemo matendonya kuteka watu nyara, kupora, kubaka, kubambikia watu kesi kubwakubwa, uhujumu uchumi, wizi wa mali na mateso memgine huku ukiwahoji wanadai ni maagizo kutoka juu.
Asilimia kubwa inaonesha kama ICC wangepokea Mashtaka dhdi yake Hayati Magufuli kwa ukatili uliofanyika wakati wa uchaguzi 2020 na matukio mengine saa hizi angekuwa analia na kusaga meno Mikononi mwa Gereza la kimataifa.
Ushahidi umetimia kwa Sabaya.
Na akina Lema na Lissu watarudiMdogo mdogo tutafika. Watakimbia nchi.
Mama alikuwa anawachora tu. Uzuri wote wanajulikana
He is trying to neutralize his GuiltnessSabaya kwa nje anacheka lakini ndani ana maumivu makali sana