Haya Mambo hatari Sana. Kuna wakati nililima vitunguu saum, wakati wa kupalilia, tulifukua mayai viza, wenyeji walivyoona wakaniambia tumefukua mayai viza. Sikuchukulia serious Sana, cha kushangaza walinishangaa mimi.
Hapa leo ndiyo nimepata ufahamu Mkuu.