Kulikoni ukimya wa Mbowe?

Kulikoni ukimya wa Mbowe?

sitagliptin

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2023
Posts
1,501
Reaction score
2,934
Kama kichwa kinavyojieleza. Mbowe kwa sasa amekuwa kimya na hata akijaribu kufanya kitu au kuongea hasikiki wala kutrend kabisa.

Mbaya zaidi mikutano yake watu hawajitokezi kabisa hali imepelekea kutumia helicopter walau watu wakaizunguke kuishangaa.

Lissu na Mbowe? Amani kweli ipo
 
Bila shaka wewe ni team Lissu umetumwa kuja kupima upepo wa mwenyekiti wa chama. Ila haina haja ya kuongea na wakati picha zinajieleza.

IMG-20230520-WA0008.jpg
FwkSyIIXoAAx-oS.jpg
 
Kama kichwa iluvyojieleza
Mbowe kwa sasa amekuwa kimya na hata akijaribu kufanya kitu au kuongea hasikiki wala kutrend kabisa

Mbaya zaid mikutano yake watu hawajitokezi kabisa hari imepelekea kutumia helicopter walau watu wakaizunguke kuishangaa


Lisu na mbowe? Amani kweli ipo
Umelogwa halafu umekufa, ila hujazikwa.

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Kama kichwa kinavyojieleza. Mbowe kwa sasa amekuwa kimya na hata akijaribu kufanya kitu au kuongea hasikiki wala kutrend kabisa.

Mbaya zaidi mikutano yake watu hawajitokezi kabisa hali imepelekea kutumia helicopter walau watu wakaizunguke kuishangaa.

Lissu na Mbowe? Amani kweli ipo

Endelea na Samiah Nani kakulazimisha umfuatilie Mbowe?
 
Kama kichwa kinavyojieleza. Mbowe kwa sasa amekuwa kimya na hata akijaribu kufanya kitu au kuongea hasikiki wala kutrend kabisa.

Mbaya zaidi mikutano yake watu hawajitokezi kabisa hali imepelekea kutumia helicopter walau watu wakaizunguke kuishangaa.

Lissu na Mbowe? Amani kweli ipo
Umetokea sayari gani?
 
Kama kichwa kinavyojieleza. Mbowe kwa sasa amekuwa kimya na hata akijaribu kufanya kitu au kuongea hasikiki wala kutrend kabisa.

Mbaya zaidi mikutano yake watu hawajitokezi kabisa hali imepelekea kutumia helicopter walau watu wakaizunguke kuishangaa.

Lissu na Mbowe? Amani kweli ipo
Upo wapi wewe? Ghamboshi?
 
Kama kichwa kinavyojieleza. Mbowe kwa sasa amekuwa kimya na hata akijaribu kufanya kitu au kuongea hasikiki wala kutrend kabisa.

Mbaya zaidi mikutano yake watu hawajitokezi kabisa hali imepelekea kutumia helicopter walau watu wakaizunguke kuishangaa.

Lissu na Mbowe? Amani kweli ipo
Tupo naye tunabugia asalı tulieni huko
 
Back
Top Bottom