Kulikoni Tundu Antipas Lissu?

Kulikoni Tundu Antipas Lissu?

Mpekuzi Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2018
Posts
662
Reaction score
1,041
Ukimya wako kwenye mambo ya Taifa na Kimataifa?

Umelipwa Madai yako ya Ubunge, lakini bado hatuoni zile kauli za kuwa "Sasa narudi nyumbani"

Serikali kupitia Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi alitoa kauli rasmi Bungeni kuwahakikishia usalama wenu, bado kimya kuhusu kurudi nyumbani

Rudini tujenge Nchi, Mwenyekiti wenu kashasema Sasa tunafanya Siasa za kujenga na Rais wetu Samia Suluhu Hassan
 
Maisha ya ughaibuni ni mazuri zaidi ya Tanzania kwa sasa, naamini watakuwa wanajiuliza warudi nyumbani kufanya nini?

Huko walipo watakuwa na namna ya kujiingizia kipato, kama huku nyumbani hawakuacha biashara ya maana walikuwa wanategemea siasa pekee, na ubunge ndio ule waliporwa na Magufuli, sishangai kwa nini hawarudi.

Kile walichofanya wale wanawake 19 kulazimisha kwenda bungeni kimeniachia somo kubwa sana kwa hizi siasa zetu.
 
Ukimya wako kwenye mambo ya Taifa na Kimataifa?

Umelipwa Madai yako ya Ubunge, lakini bado hatuoni zile kauli za kuwa "Sasa narudi nyumbani"

Serikali kupitia Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi alitoa kauli rasmi Bungeni kuwahakikishia usalama wenu, bado kimya kuhusu kurudi nyumbani

Rudini tujenge Nchi, Mwenyekiti wenu kashasema Sasa tunafanya Siasa za kujenga na Rais wetu Samia Suluhu Hassan
weee usalama wamehakikishiwa?

Kwa hiyo gvt itakuwa mda ote imawalinda au ikojee?
 
Kwani nchi inashindwa kuendelea bila yeye? Rais wa nchi alikufa na mambo yakaendelea kama kawaida sembuse huyo mwenzenu
 
Kurudi au kutorudi kwa Mr. Lissu wewe kunakusaudia nini? tafuta fedha mkuu kwako na familia yako
 
Ukimya wako kwenye mambo ya Taifa na Kimataifa?

Umelipwa Madai yako ya Ubunge, lakini bado hatuoni zile kauli za kuwa "Sasa narudi nyumbani"

Serikali kupitia Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi alitoa kauli rasmi Bungeni kuwahakikishia usalama wenu, bado kimya kuhusu kurudi nyumbani

Rudini tujenge Nchi, Mwenyekiti wenu kashasema Sasa tunafanya Siasa za kujenga na Rais wetu Samia Suluhu Hassan
Tunaposema wapinzani wa Tanzania ni wachumia tumbo muwe mnaelewa
 
Ukimya wako kwenye mambo ya Taifa na Kimataifa?

Umelipwa Madai yako ya Ubunge, lakini bado hatuoni zile kauli za kuwa "Sasa narudi nyumbani"

Serikali kupitia Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi alitoa kauli rasmi Bungeni kuwahakikishia usalama wenu, bado kimya kuhusu kurudi nyumbani

Rudini tujenge Nchi, Mwenyekiti wenu kashasema Sasa tunafanya Siasa za kujenga na Rais wetu Samia Suluhu Hassan
Muacheni lissu
 
Ukimya wako kwenye mambo ya Taifa na Kimataifa?

Umelipwa Madai yako ya Ubunge, lakini bado hatuoni zile kauli za kuwa "Sasa narudi nyumbani"

Serikali kupitia Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi alitoa kauli rasmi Bungeni kuwahakikishia usalama wenu, bado kimya kuhusu kurudi nyumbani

Rudini tujenge Nchi, Mwenyekiti wenu kashasema Sasa tunafanya Siasa za kujenga na Rais wetu Samia Suluhu Hassan
Atarudi punde mhalifu aliyetaka kutoa uhai wake akiwa nyuma ya nondo
 
Ukimya wako kwenye mambo ya Taifa na Kimataifa?

Umelipwa Madai yako ya Ubunge, lakini bado hatuoni zile kauli za kuwa "Sasa narudi nyumbani"

Serikali kupitia Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi alitoa kauli rasmi Bungeni kuwahakikishia usalama wenu, bado kimya kuhusu kurudi nyumbani

Rudini tujenge Nchi, Mwenyekiti wenu kashasema Sasa tunafanya Siasa za kujenga na Rais wetu Samia Suluhu Hassan
Ulipanga akishalipwa umuone akukopeshe?
 
Nataka nikufundishe kitu kimoja kuwa Mbwa unaemlisha hawezi kukubwekea
 
Ukimya wako kwenye mambo ya Taifa na Kimataifa?

Umelipwa Madai yako ya Ubunge, lakini bado hatuoni zile kauli za kuwa "Sasa narudi nyumbani"

Serikali kupitia Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi alitoa kauli rasmi Bungeni kuwahakikishia usalama wenu, bado kimya kuhusu kurudi nyumbani

Rudini tujenge Nchi, Mwenyekiti wenu kashasema Sasa tunafanya Siasa za kujenga na Rais wetu Samia Suluhu Hassan
Akirudi mafuta yatashuka bei?
 
Tunaposema wapinzani wa Tanzania ni wachumia tumbo muwe mnaelewa
Wachumia tumbo vipi tena? Wakiwepo hamtaki kuwasikiliza na mnawafungulia kesi za uongo na kujaribu kuwaua au kuwaua kabisa. Wakinyamaza mnalalamika eti hali ngumu na wao hawawasemei!
Sasa mnawaita wachumia tumbo? Kama sio wehu ni nini?
Wamewaambia katiba mpya ndio suluhisho la kuipeleka nchi mbele, badala ya kuwaunga mkono nyie mnajadili Diamond amuoe nani kati ya Zuchu na Amberruty au Yanga ni bora kuliko Simba siku 24/7.
 
Sasa aongee Nini unavyotaka wewe, kwani yeye haoni kazi nzuri na ya kutukuka inayofanywa na mh mama Samia suluhu Hassani,

Kwani yeye haoni namna miradi ya maendeleo inavyozidi kujengwa kila mahali na kila eneo,

Kwani yeye haoni nchi inavyoendeshwa kwa kufuata misingi ya Sheria na utawala Bora

Kwani yeye haoni namna mh Rais anavyoendelea kujenga umoja wa kitaifa

Kwa ufupi Ni kuwa Ndugu Tundu lisu ameridhishwa na uongozi wa mh Rais mama Samia suluhu Hassani Kama ilivyo kwetu watanzania wengi tunaomuunga mkono mh Rais wetu
 
Maisha ya ughaibuni ni mazuri zaidi ya Tanzania kwa sasa, naamini watakuwa wanajiuliza warudi nyumbani kufanya nini?

Huko walipo watakuwa na namna ya kujiingizia kipato, kama huku nyumbani hawakuacha biashara ya maana walikuwa wanategemea siasa pekee, na ubunge ndio ule waliporwa na Magufuli, sishangai kwa nini hawarudi.

Kile walichofanya wale wanawake 19 kulazimisha kwenda bungeni kimeniachia somo kubwa sana kwa hizi siasa zetu.
Mnakosea sana, wanasiasa wanagombea madaraka sababu ya power sio pesa!! Hivi Lissu angetaka pesa si ataendelea na legal consultation zake Au kina Mdee mpaka anatafutiwa kazi nje ya nchi anagomea!! Or Gwajima unadhani pesa ndio inawaepeleka mjengoni?

People want power if it's about money hakuna mwanasiasa Hana vitega uchumi maana kuinua mgongo tu ni mtaji tosha.
 
Wabongo tunapenda wapinzani wanaopiga kelele, lakini kutoa support kwao hatutaki...

Acha nao wapumzike waenjoy maisha kama raia wa kawaida...

CCM 8iendelee tu na mishe zake za kutawala nchi..
 
Back
Top Bottom