nawe umekurupuka tuuu, ulikotoka na kuwasha tv kukuta hakuna bunge ukaishia kuiponda TBC, Muwe munauliza b4 kupost, au usiwe unapost vitu coz unahasira na TBC,
Bunge limehairishwa mpaka kesho asubuhi. au ulitaka TBC watuonyeshe mabenchi ya ukumbini the whole day???
nawe umekurupuka tuuu, ulikotoka na kuwasha tv kukuta hakuna bunge ukaishia kuiponda TBC, Muwe munauliza b4 kupost, au usiwe unapost vitu coz unahasira na TBC,
Bunge limehairishwa mpaka kesho asubuhi. au ulitaka TBC watuonyeshe mabenchi ya ukumbini the whole day???
Wewe ndio umekurupuka kujibu..TBC wamekata toka kipindi cha maswali na majibu. Wakati anajibu swali la mbunge wa kindoni palepale TBC ikaingia mitini. Huna tofauti na magamba kutoa kauli za ovyo ovyo ***f