Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,583
Hakuna watu wenye matatizo ya Kisaikolojia Tanzania kama watu wanaojifanya wana akili na busara
Sie Wajinga wajinga tusio na busara tunaishi Raha bin mustareh
Ukikuta watu wanakimbia nawe kimbia, sababu ya kukimbia utauliza mkimaliza mbio
I agree.. đź‘Ť