Kulikoni, Makaburi mengi mapya yanachimbwa Tehran Iran

Kulikoni, Makaburi mengi mapya yanachimbwa Tehran Iran

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,301
Reaction score
47,303
Inakuwaje!

Makaburi mengi mapya yanachimbwa huko Tehran. Kwanini wanaandaa makaburi mapema. Kweli sababu ni korona? Ndio style gani hii ya msiba?
Screenshot_20201202_054618.jpg

Aidha wanasayansi wote wa nyuklia Iran wameamua kudanganya fani zao wengine kujitambulisha kama wahasibu, wakulima, wana historia, wanajiologia, mabwana shamba, mabwana afya, walimu kwa kuhofia kuwa target kutoka taifa teule la Mungu wa kweli.

RTI
 
BRAZIL WAKATI VIFO VIMEFIKIA 7000 WAO WALICHIMBA MAKABURI KARIBU 13000
 
Ata sisi huku inaweza kuja kutokea tuombe Mungu Dunia ina mengi sana sana yaliyo fichika.
 
Back
Top Bottom