Kulikoni Bongo FM?

Kulikoni Bongo FM?

Watangazaj wate wa michezo wapo mikoan kumbuka haohao ndio watangaze mpira hao hao wachambuz

Mfano

Upete yupo mbeya

Nango rehema yupo mbeya

Cheyo lutengano alikuwamkoa

Hvyo MAN POWER n ndogo waambien waajli wafanyakaz wengi
 
Watangazaj wate wa michezo wapo mikoan kumbuka haohao ndio watangaze mpira hao hao wachambuz

Mfano

Upete yupo mbeya

Nango rehema yupo mbeya

Cheyo lutengano alikuwamkoa

Hvyo MAN POWER n ndogo waambien waajli wafanyakaz wengi
Vipi kuhusu abdul ghafar ali chissano?,Issa Suleiman?Nira Juma,Emmanuel Mwayombo?,Watangazaji wa michezo wapo wengi sana,hiyo sio sababu.Pili mara nyingi hutangaza mpira kupitia screen za televisheni,hawaendi kila mahali mpira unapochezwa
 
Vipi kuhusu abdul ghafar ali chissano?,Issa Suleiman?Nira Juma,Emmanuel Mwayombo?,Watangazaji wa michezo wapo wengi sana,hiyo sio sababu.Pili mara nyingi hutangaza mpira kupitia screen za televisheni,hawaendi kila mahali mpira unapochezwa
Kaka NIRA JUMA yupo mwanza

Mwayombo yupo safarin kuripot mech

Issa suleyman anarud mjin leo

Jua tu wapo wachache
 
Akina julius mtete, abdulghafali chissano na khalifa mgaya si wangeenda kuchambua michezo hata bila kuwepo kina upete, rehema na wenzao? Walianzisha bongo fm kwa mbwembwe nyingi kuwa watayafikia matarajio ya vijana michezoni, sasa kiko wapi?
 
Hayo ni maoni yako lakini sio uhalisia
Hebu niambie katika Dunia ya social network, utaenda meza ya magazeti ili ufanye nini?

Yaani ukae kusikiliza dj leo atapiga nyimbo gani redioni wakati una app kama youtube?

Taarifa ya habari uisubiri mpaka saa mbili usiku, tena utangaziwe habari iliyochujwa kwa manufaa ya watu fulani wakati habari hiyo unaweza kuipata kwenye social network muda ule ule inapotokea tena bila kuchujwa.

Ndugu, dunia ilipofikia, TV, redio na magazeti hayana maana

Hata kipindi zinaingia TV flat, wenye machogo walikua wabishi, lakini leo hii ukiwa na chogo watu wanakushangaa.
 
Watangazaj wate wa michezo wapo mikoan kumbuka haohao ndio watangaze mpira hao hao wachambuz

Mfano

Upete yupo mbeya

Nango rehema yupo mbeya

Cheyo lutengano alikuwamkoa

Hvyo MAN POWER n ndogo waambien waajli wafanyakaz wengi
upete juzi alikuwa kwenye kipindi cha jaramba TBC1, lini kaenda mbeya?
 
Kaka NIRA JUMA yupo mwanza

Mwayombo yupo safarin kuripot mech

Issa suleyman anarud mjin leo

Jua tu wapo wachache
yupo lutengano cheyo,yupo lugendo,yupo ngilywile,yupo bagoka,uongozi upo unaweza kupanga ratiba nzuri kila kitu kikaenda,mbona siku za nyuma mipira ilikuwa inachezwa na vipindi vinaenda kama kawaida?
 
Hebu niambie katika Dunia ya social network, utaenda meza ya magazeti ili ufanye nini?

Yaani ukae kusikiliza dj leo atapiga nyimbo gani redioni wakati una app kama youtube?

Taarifa ya habari uisubiri mpaka saa mbili usiku, tena utangaziwe habari iliyochujwa kwa manufaa ya watu fulani wakati habari hiyo unaweza kuipata kwenye social network muda ule ule inapotokea tena bila kuchujwa.

Ndugu, dunia ilipofikia, TV, redio na magazeti hayana maana

Hata kipindi zinaingia TV flat, wenye machogo walikua wabishi, lakini leo hii ukiwa na chogo watu wanakushangaa.
Kumbuka sionwote wana simu zinazoweza kufanya hayo usemayo
 
Kwa mech za lig kuu mara zote watangaZaj huenda kituo husika kuripot mech na kwa mfumo wa lig yetu na jiografia yake kwastan kila siku mech zinachezwa hvyo mech moja inahtaj mchambuz na ripota
Kama kukiwa na mech 3 jua watu 6 hawapo kituon na wwngne watakuwa njian kuenda kuripot mech nyingne hvyo kituo kinakuwa na watu wachache au hakuna kabisa

Ushaur waajil wafanyakaz weng na sio wote lazma watangaze

Kuna wakat had babu yangu MBAZIGWA HASSAN ilibid atangaze mpira
 
Akina julius mtete, abdulghafali chissano na khalifa mgaya si wangeenda kuchambua michezo hata bila kuwepo kina upete, rehema na wenzao? Walianzisha bongo fm kwa mbwembwe nyingi kuwa watayafikia matarajio ya vijana michezoni, sasa kiko wapi?
Swali mjarabu
 
Ni muda sasa wa kwenda digital zaidi, izi radio ni wakati sasa ziwe online zaidi Kuliko kutegemea hayo ma tune frequency ambayo ni wachache Wana muda Mimi ni msikilizaji Mkubwa wa radio za Kenya ila zote nasikiliza Online tu kwenye TuneIn
 
Kwa mech za lig kuu mara zote watangaZaj huenda kituo husika kuripot mech na kwa mfumo wa lig yetu na jiografia yake kwastan kila siku mech zinachezwa hvyo mech moja inahtaj mchambuz na ripota
Kama kukiwa na mech 3 jua watu 6 hawapo kituon na wwngne watakuwa njian kuenda kuripot mech nyingne hvyo kituo kinakuwa na watu wachache au hakuna kabisa

Ushaur waajil wafanyakaz weng na sio wote lazma watangaze

Kuna wakat had babu yangu MBAZIGWA HASSAN ilibid atangaze mpira
watangazaji wapo wengi,ulishamsikia bagoka au ngilwile anatangaza mpira?
 
Back
Top Bottom