Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 36,155
- 30,829
Kwani kipi cha ajabu hapo?
Au walidhani dhamira njema na jitihada madhubuti za makusudi za kiuchumi za Dr.Samia Suluhu Hassan ilikua mzaha?
Huu ni mwanzo tu.
mwaka ujao wa fedha, bajeti ya serikali sikivu ya CCM chini ya Rais Dr.Samia Suluhu Hassan na Makamu wake Dr.Emmanuel Nchimbi itagharamiwa na fedheha ya Tanzania kwa asilimia 100%.
Wafadhili wanakaribishwa kwenye maeneo mengine ikiwa wana wiwa kufanya hivyo kwa hiyari yao 🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Au walidhani dhamira njema na jitihada madhubuti za makusudi za kiuchumi za Dr.Samia Suluhu Hassan ilikua mzaha?
Huu ni mwanzo tu.
mwaka ujao wa fedha, bajeti ya serikali sikivu ya CCM chini ya Rais Dr.Samia Suluhu Hassan na Makamu wake Dr.Emmanuel Nchimbi itagharamiwa na fedheha ya Tanzania kwa asilimia 100%.
Wafadhili wanakaribishwa kwenye maeneo mengine ikiwa wana wiwa kufanya hivyo kwa hiyari yao 🐒
Mungu Ibariki Tanzania