Kulala bila nguo ya ndani (kyupi)

Kulala bila nguo ya ndani (kyupi)

ngalelefijo

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2012
Posts
4,115
Reaction score
2,792
Ndugu wana jf nimekuwa mara kwa mara nikijiuliza hili swali au slogani inayosemwa na watu wengi kuwa mwanamke akiolewa akubali kulala bila chu.p.i.najiuliza kuna madhara gani kwa mwanamke kulala na chu.p.i wakati ameolewa?mwenye uzoefu na hili anijuze/atujuze please.Jumapili njema
 
1. Kwa mwanamke Akilala na pichu inaleta usumbufu wa kuivuwa ukitaka kufaidi utamu vilele kwa mwanaume ukilala na boxer inamzinguwa mkeo akitaka kuishika mashine ....Kwa ujumla pichu inakera ndiyo mana lazima avuwe
2. akilala bila pichu inaleta raha sana yani acha tuu mkuu

N.B
kama wew ni mwanafunzi soma kwanza umalizw shule haya mambo tuachieni sisi tuendelee kufaidi tuu
 
N.B
kama wew ni mwanafunzi soma kwanza umalizw shule haya mambo tuachieni sisi tuendelee kufaidi tuu
Haha. Mimi nilikuwa very inquisitive. Nikiona watu wanafichaficha mambo hasa kwenye jamii hii yenye mtazamo hasi juu ya Uchi (nakedness) na sex ndo inanitia ari ya kujua na kufanya. Vitu vingine mnaviOver rate tu. Msiwe mnaambia watoto maneno kama hayo.
 
Hamna madhara,ukiwa ni mtu unaepangilia mambo yako kila kitu chaenda sawa, ila kama unakurupuka kurup! Hapo ni muhimu kwa wote kulala empty!
 
Tena bora utembee bila chupi mchana........lakini wakati wa kulala uvae........
usiku huvai chupi......?.......mtu utakuwa unajipenda kweli.......?......oooh.....god forbid........

Mchana joto- tuvue
usiku popobawa- tuvae
 
Back
Top Bottom