kisasangwe
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 292
- 52
he nisaidieni, hii hamu ya kumumunya udongo inanizidi. sio mjamzito!!!!! maana mwaezasema ni mjamzito. Inatokea tu ninakua na hamu ya kula udongo.
Nifanyeje niiache?
Nifanyeje niiache?
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us