Habari ndugu wadau?,
niende kwenye mada:
Nimekuwa nikisikia sehemu tofauti tofauti kuhusiana na swala la kula mayai na ndizi kwa wakati mmoja kuwa linaweza kusababisha kifo kwa mlaji, jambo ambalo linanishangaza ukizingatia na ukiangalia kwa mtazamo wa juu juu kuwa hivi vyote ni vyakula sasa iweje ukila kwa pamoja visababishe kifo?,
Wadau naomba mnifungue macho ni kwanini kifo hutokea kwa mlaji?
Karibuni wadau.
Sent using Jamii Forums mobile app
niende kwenye mada:
Nimekuwa nikisikia sehemu tofauti tofauti kuhusiana na swala la kula mayai na ndizi kwa wakati mmoja kuwa linaweza kusababisha kifo kwa mlaji, jambo ambalo linanishangaza ukizingatia na ukiangalia kwa mtazamo wa juu juu kuwa hivi vyote ni vyakula sasa iweje ukila kwa pamoja visababishe kifo?,
Wadau naomba mnifungue macho ni kwanini kifo hutokea kwa mlaji?
Karibuni wadau.
Sent using Jamii Forums mobile app