Kula maini kuna madhara?

Tripo9

JF-Expert Member
Sep 9, 2009
4,352
3,533
Kwa uelewa wangu kiduchu wa biology ini huondoa sumu mwilini.
Je ulaji wa maini ya mfano ng'ombe utakua na madhara kwa binadamu? Maana nahisi huenda maini yakawa na mabakibaki ya sumu.
Naombeni msaada wakuu!
 
Kwa uelewa wangu kiduchu wa biology ini huondoa sumu mwilini.
Je ulaji wa maini ya mfano ng'ombe utakua na madhara kwa binadamu? Maana nahisi huenda maini yakawa na mabakibaki ya sumu.
Naombeni msaada wakuu!

Linaondoa, lakini halibaki nayo...inatolewa kwa njia ya sweating, urine etc!

Utaogopa hata kula BATA kwa mtindo huo Mkurugenzi!...lol!
 
zile sumu hazibaki kwenye maini; na maini ni source ya nutrients kibao kama vitamins na madini; kwwa hiyo we kula tu maini, mzee..,
 
Maini yana madhara kama hayakupimwa kuhakikisha hayana magonjwa.Maini huweza kuweka vimelea vya magonjwa na ndio maana huwa na majipu na hata minyoo ( flukes) na vyote hivi sidhani ni vizuri kwa afya yako. Jipu huweka usaha.... unaweza kula kitu chenye majipu/madonda na usaha?
Mtu mzima tena mwanaume huhitaji sana kula maini.Haya waachie wanawake ambao bado wanazaa na watoto wanaokua. Kula mchicha kwa wingi uongeze damu na kula nyama ya kawaida na magarage upate protein ya kutosha.
 
Kweli
Maini yana madhara kama hayakupimwa kuhakikisha hayana magonjwa.Maini huweza kuweka vimelea vya magonjwa na ndio maana huwa na majipu na hata minyoo ( flukes) na vyote hivi sidhani ni vizuri kwa afya yako. Jipu huweka usaha.... unaweza kula kitu chenye majipu/madonda na usaha?
Mtu mzima tena mwanaume huhitaji sana kula maini.Haya waachie wanawake ambao bado wanazaa na watoto wanaokua. Kula mchicha kwa wingi uongeze damu na kula nyama ya kawaida na magarage upate protein ya kutosha.
 
Back
Top Bottom