Kula kwa mamantilie ni risk

Kula kwa mamantilie ni risk

Emc2

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
16,808
Reaction score
16,951
Mimi napenda kujipikia chakula changu kwangu, huwa sipendi kula kwa mama nitilie au sehemu wanapopika vyakula kiholela.

Hii ni baada ya kugundua asilimia kubwa ya mama nitilie wanatumia ushirikina kwenye biashara zao, na hatimaye kuweka uchafu kwenye vyakula. Yaani utakuta eti ndani ya ubwabwa wamechanganya maji ya maiti au kachanganya mkojo wake wa asubuhi!!! Hii inatia kinyaa sana lakini ndio hivyo.

Kunajamaa yangu wa karibu kanunua maandazi baada yakuanza kula akakutana na nywele kibao ndani ya andazi.

Utakuta mara nyingine anachanganya choo cha mtoto ndani ya chakula ili apate wateja wengi. Hii inatia kinyaa sana.

Baada ya kugundua hivyo niliamua kupika mwenyewe kwangu.

Ni hayo tu.
 
Mbona unaharibu biashara ya mama zetu mkuu!!!

Wengine ndio imetusomesha hiyo biashara na leo hii tunajua kusoma, kuandika na hata kufanya kazi za taaluma yetu...

Wamama hawa wanajitahidi kuishi sawasawa na signature yako ya JF; "Ukizaliwa masikini sio kosa lako, bali ukifa masikini ni kosa lako"
 
Mbona unaharibu biashara ya mama zetu mkuu!!!

Wengine ndio imetusomesha hiyo biashara na leo hii tunajua kusoma, kuandika na hata kufanya kazi za taaluma yetu...

Sijasema wote. Kwanini bro nisiseme kitu ambacho kinatendeka? Pawepo utaratibu maalumu ili watu wasiingize issue za ushirikina.
 
Sijasema wote. Kwanini bro nisiseme kitu ambacho kinatendeka? Pawepo utaratibu maalumu ili watu wasiingize issue za ushirikina.

Ayo unayoyasema ushawai kuyashuudia...au ni hadithi kama za kawawa funika kikombe.
 
ndio maana tanzania haiendelei kila mtu karogwa
 
Mimi napenda kujipikia chakula changu kwangu, huwa sipendi kula kwa mama nitilie au sehemu wanapopika vyakula kiholela.

Hii ni baada ya kugundua asilimia kubwa ya mama nitilie wanatumia ushirikina kwenye biashara zao, na hatimaye kuweka uchafu kwenye vyakula. Yaani utakuta eti ndani ya ubwabwa wamechanganya maji ya maiti au kachanganya mkojo wake wa asubuhi!!! Hii inatia kinyaa sana lakini ndio hivyo.

Kunajamaa yangu wa karibu kanunua maandazi baada yakuanza kula akakutana na nywele kibao ndani ya andazi.

Utakuta mara nyingine anachanganya choo cha mtoto ndani ya chakula ili apate wateja wengi. Hii inatia kinyaa sana.

Baada ya kugundua hivyo niliamua kupika mwenyewe kwangu.

Ni hayo tu.

Mmmmh kweeli? labda wa huko vijijini kwenu maana hapa mjini 1st of all ni usafi na hapo mama ntilie anawasaidizi karibu wa5 na hao wasaidizi ndio mara nyingi ufanya maandalizi saangapi mama wa watu ataweka hayo mambo yako? Mi hata siamini na pia huwa si mpenzi wa mama ntilie nk mi huwa nyama choma ama hivyo vichips sasa navyo sijui vyafanyiwa hivyoo!
 
Sijasema wote. Kwanini bro nisiseme kitu ambacho kinatendeka? Pawepo utaratibu maalumu ili watu wasiingize issue za ushirikina.

Maandishi yako haya hapa chini yana maana kubwa kuliko unavyodhani mkuu...

Hii ni baada ya kugundua asilimia kubwa ya mama nitilie wanatumia ushirikina kwenye biashara zao, na hatimaye kuweka uchafu kwenye vyakula. Yaani utakuta eti ndani ya ubwabwa wamechanganya maji ya maiti au kachanganya mkojo wake wa asubuhi!!!

Maneno asilimia kubwa kitakwimu maana yake ni zaidi ya asilimia hamsini...

Ukifikiria kimahesabu maana yake ni kama hii; katika kila mama ntilie wawili, mmoja hutumia ushirikina...

Je waona ni sawa hii mkuu?

Ukiachana na hilo, hiki ulichoandika umekiita ugunduzi na nijuavyo mimi matokeo ya ugunduzi huwa hayapimwi kwa asilimia isipokuwa matokeo ya utafiti...

Hapa pia sijaelewa elewa mkuu...
 
Hatuachi kula mama ntilie ng"o hata wakituwekea mavi.......wewe unadhani nitapata wapi sahani ya ubwabwa kwa buku....au maharage yaliyopikwa kwa mia tatu......nimesema siachiiii.....
wewe nenda kale NYUMBANI LOUNGE.....sahani moja ya ubwabwa inagharimu bajeti yangu ya kutwa nzima.....
 
Maandishi yako haya hapa chini yana maana kubwa kuliko unavyodhani mkuu...



Maneno asilimia kubwa kitakwimu maana yake ni zaidi ya asilimia hamsini...

Ukifikiria kimahesabu maana yake ni kama hii; katika kila mama ntilie wawili, mmoja hutumia ushirikina...

Je waona ni sawa hii mkuu?

Ukiachana na hilo, hiki ulichoandika umekiita ugunduzi na nijuavyo mimi matokeo ya ugunduzi huwa hayapimwi kwa asilimia isipokuwa matokeo ya utafiti...

Hapa pia sijaelewa elewa mkuu...

Mimi nilikuwa mpezi sana wa kula kwa mamanitilie bro. Sijui kama wewe umewahi kula huko sijui.
Kusema asilimia kubwa haiwezi ikaleta maana ya zaidi ya nusu au chini ya nusu.

Ila inaleta maana ya kitu kikubwa na sio kidogo. Inaweza ikawa 10 au 90 ila sio 100 wala 0.

Neno kugundua linatokana na kwamba "katika hii sredi" ulikuwa huna nia ya kufanya utafiti ila katika kufanya jambo fulani ukajikuta umepata kitu fulani.
 
Bora wewe bajeti ya siku,mie bajeti ya wiki mbili hahahahahahahaha
Hatuachi kula mama ntilie ng"o hata wakituwekea mavi.......wewe unadhani nitapata wapi sahani ya ubwabwa kwa buku....au maharage yaliyopikwa kwa mia tatu......nimesema siachiiii.....
wewe nenda kale NYUMBANI LOUNGE.....sahani moja ya ubwabwa inagharimu bajeti yangu ya kutwa nzima.....
 
Dah umenikumbusha mbalii...nliangaliaga ile movie ya 3idiots mpaka leo sili chapat za kununua baada ya kuona yule mama akimkunia mmewe yale mapele kile kifimbo cha kusukumia chapati..kula magengen yahitaj moyo
 
Mimi nilikuwa mpezi sana wa kula kwa mamanitilie bro. Sijui kama wewe umewahi kula huko sijui.
Kusema asilimia kubwa haiwezi ikaleta maana ya zaidi ya nusu au chini ya nusu.

Ila inaleta maana ya kitu kikubwa na sio kidogo. Inaweza ikawa 10 au 90 ila sio 100 wala 0.

Neno kugundua linatokana na kwamba "katika hii sredi" ulikuwa huna nia ya kufanya utafiti ila katika kufanya jambo fulani ukajikuta umepata kitu fulani.

inaonekana wewe ni mshirikina pia!
 
Mimi nilikuwa mpezi sana wa kula kwa mamanitilie bro. Sijui kama wewe umewahi kula huko sijui.

Huwa nakula sana huko na nimekula sana huko na naweza kukutajia vijiwe vyote vyenye misosi mitamu ya mama jaza hapa tauni...
Kusema asilimia kubwa haiwezi ikaleta maana ya zaidi ya nusu au chini ya nusu.

Ila inaleta maana ya kitu kikubwa na sio kidogo. Inaweza ikawa 10 au 90 ila sio 100 wala 0.

Again your wrong to my opinion...

Wewe hapa umegawanyisha mama ntilie katika makundi mawili,

1. Wanaotumia ushirikina
2. Wasiotumia ushirikina

Hitimisho lako likawa wanaotumia ushirikina ni asilimia kubwa...

Sasa inakuaje unaanza tena kukana kuwa hao wanaotumia ushirikina si zaidi ya 50%...

Huo ukubwa wa asilimia umeupata vipi hapo?

Please nisahihishe logic yangu hiyo ya kimahesabu kama una hoja nzuri zaidi ya kimahesabu...


Neno kugundua linatokana na kwamba "katika hii sredi" ulikuwa huna nia ya kufanya utafiti ila katika kufanya jambo fulani ukajikuta umepata kitu fulani.

wrong wrong wrooooong!!!!
 
Ahssssaante Mkuu, Big stop kwaanzia saa hii sisogelei mloo huo wa Mama ntilie ! Nashukuru kutufungua macho !! Ubarikiwe sana Annael...I will rather die hungry...hadi nile kwa mkono wangu au future wife anipikie.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom