Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 7,682
- 9,522
Tunaojitambua, tunaondoka Dar kwenda Mikoani (kijijini huko) huku tukisikilizia mambo yenu ya D9. Tuonane mwaka mpya 2026.
Hivi huoni watu wanatekwa na kuuwawa hata kabla ya maandamano huoni uchaguzi ulivyo wa wizi sasa vile vitu ndio wananchi wanaandamana kuvipinga baada ya mazungumzo kushindikana acha kuwa mpumbavuView attachment 3510762
Ni muhimu kwa nchi za Afrika kuwa na ufahamu wa kina kuhusu masilahi ya nchi za kigeni na jinsi yanavyoweza kuathiri mchakato wa kisiasa na kijamii. Kujenga uwezo wa ndani, kuimarisha demokrasia, na kuendeleza elimu ya raia kunaweza kusaidia katika kupunguza athari za matumizi mabaya ya wanaharakati na kuimarisha uhuru wa ndani. Aidha, ni muhimu kwa nchi za Afrika kuunda sera zinazolinda masilahi yao na kuhakikisha kwamba rasilimali zao zinatumika kwa faida ya wananchi wao. #TANZANIA #SIASA
Watu waliandamana hadi katoro na chunya au wewe unazungumzia mkoa upi?Tunaojitambua, tunaondoka Dar kwenda Mikoani (kijijini huko) huku tukisikilizia mambo yenu ya D9. Tuonane mwaka mpya 2026.
Likikuhusu wewe usidhani kila mtu linamuhusu.Maandamano ya kupinga serikali ya mauwaji na wizi ni suala la kitaifa linalo kuhusu
Unaelewa kweli dhana ya maandamano ndugu Genius?Hivi huoni watu wanatekwa na kuuwawa hata kabla ya maandamano huoni uchaguzi ulivyo wa wizi sasa vile vitu ndio wananchi wanaandamana kuvipinga baada ya mazungumzo kushindikana acha kuwa mpumbavu
Nani ANAUA, ANAPORA HAKI na KUTEKA??View attachment 3510762
Ni muhimu kwa nchi za Afrika kuwa na ufahamu wa kina kuhusu masilahi ya nchi za kigeni na jinsi yanavyoweza kuathiri mchakato wa kisiasa na kijamii. Kujenga uwezo wa ndani, kuimarisha demokrasia, na kuendeleza elimu ya raia kunaweza kusaidia katika kupunguza athari za matumizi mabaya ya wanaharakati na kuimarisha uhuru wa ndani. Aidha, ni muhimu kwa nchi za Afrika kuunda sera zinazolinda masilahi yao na kuhakikisha kwamba rasilimali zao zinatumika kwa faida ya wananchi wao. #TANZANIA #SIASA
Sisi waislamu tunasema kupinga udhalimu ni sunna.Maandamano ya kupinga serikali ya mauwaji na wizi ni suala la kitaifa linalo kuhusu