Huyu jamaa anakukumbusha wapi na mwaka gani.. Personally he reminds me some way back more than ten years ago with my friends .Some of them are no longer breathing ..Those were the days bana..We ukisikia jina hili unakumbuka wapi?
nakumbuka tu law hapo nakutana na swali alafu mwisho unakuta hakwambi with relevant case hapo ndo huwa namkumbukaga kukutia ole pumbuni na wengine kibao
Nakumbuka chuoni mwaka wa pili nikisoma sheria kwenye administrative law mambo ya Judicial review kuna kesi jamaa alishitaki. Basi tulikuwa tunafundishwa na madam mmoja hivi akiitaja hii kesi darasa zima tunaangua kicheko.
Kukutia Ole pumbuni Bado yupo hai kwenye law day ya mwaka huu alikuwepo alialikwa na serikali.
nakumbuka tu law hapo nakutana na swali alafu mwisho unakuta hakwambi with relevant case hapo ndo huwa namkumbukaga kukutia ole pumbuni na wengine kibao
Hyo case pamoja na ya ndyanabo ni mojawapo ya case mashuhuri ambazo zinashow the procedings agaist the goverment after 1993 ambazo hutumika kama reference through GOVERMENTPROCEEDING Act CAP 5
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.