Ndoto ni nyingi mojawapo ni hii
Tarehe 28.8.2021 wakati korona imepamba moto niliota nachanjwa chanjo ya korona usingizini, nilipoamka nilikuta matobo mawili mkono wa kushoto, niliyapiga picha na makovu yapo mpaka leo.
Wakati mwingi naota naimba yaani naimba nyimbo za Mungu, its wonderful.
Hata wazazi wangu walipokaribia kufariki niliota, though walifariki miaka tofauti.
Majuzi hapo rafiki yangu aliyefariki kwa korona ambaye aliniaga na siku ya tatu akafariki niliota ananiambia waambie wajengee kaburi, nilipofuatilia kweli lilikuwa halijajengewa japo alifariki one year ago nimewapa habari (was my friend in Jesus Christ )