Kukumbuka ndoto

Kukumbuka ndoto

Mimi nikiota

Sometimes nipo kwenye ndoto najua kabisa ninaota

Kama ni ya kutisha nafosi nishtuke usingizini japo inakuwa ngumu kama mwili vile umekakamaa

Ikiwa ni nzuri nafosi muendelezo sometimes nashindwa ku control narration
Nashtuka usingizini kesho naifosi hio ndoto naiota tena naendelea muendelezo
Kumbe unaweza kufosi ndoto hii kali nayo
 
Hakuna Mwanadamu mweye uwezo wa kukumbuka ndoto aliyoota kwasababu ukilala Ubongo unakua on Hibernate mofe
Usipoikumbuka ujue ndoto hiyo haina maana/ufunuo au ujumbe wa maana.

. Mara nyingi ndoto tunazozikumbuka ni zile ambazo tumeota alfajiri au dakika kadhaa kabla ya kuamka....Au ukishtuka kama ulikua unaota basi ndoto hiyo utaikumbuka.

Bimafsi hua nasema ndoto haina maana kwangu ni kinogesho cha usingizi not otherwise, kama ni ndoto yenye maana toka kwa Mungu lazima uiote mara kwa mara mpaka ujumbe utakapoupata.
Sometimes shetani anaingilia hapo, Atakuletea mauzauza ili uone unatka kurogwa uangukie kwenye ushirikina...And sometimes sisi wenyewe tunajitengenezea matukio ya kuota kwa fikra zetu potofu za kuamini tunataka kurogwa.

Kwa utafiti wangu usio rasmi nimegundua Walokole karibia wote wana Schizophrenia. Mara nyingi hujiona wao ndio first class kwa Mungu so wanaona Wana uwezo wa kuongea nae, sometimes wanaota wapo pamoja na Mungu. Kumbe they just Hallucinating ajd eating their own feelings
 
Wakati mwingine nilikua na swali Kama Hilo maana nilikua naota ila ikifika mchana natamani nimsimulie mtu ndoto yangu ila nikawa nashindwa

Nikaanza utaratibu huu chumbani kwangu Kuna pen na daftari ikitokea nimeota ndoto nikistuka tu kutoka kwenye ndoto huwa naandika vyote Ninavyoweka kukumbuka kutoka katika ndoto hata Kama ni kidogo Sana (mradi tu nimekumbuka ) kutoka kwenye ndoto naandika kesho yake naisoma Tena

Hii inasadia Sana kukumbuka na vitu vingine

Mfano Nina ndoto niliota wakati flani niliota Kuna paka mwenye rangi nyeupe na nyeusi ananikoromea Kama akitaka kuning'ata nikapigana nae harafu nikampiga hapo Hapo nikastuka

Hii ndoto niliindaka kwenye simu (though hapa nimeacha vitu vingine Sana kwenye hiyo ndoto)

Asante Mungu niliweza kijua tafasiri yake
Umenipa mbinu aisee,

Mara nyingi nikiamka huwa nakumbuka vizuri tu,ila zikipita dakika nasahau kabisa kabisa.
 
Ndoto zangu zinafanana mara nyingi. Na huwa nakumbuka kila nikiota.
1. Huwa naota napaa. Yaani nakuwa na uwezo kuruka juu hivi,najiongeza juu kwa juu. Nakuwa kama nashuka chini najiongeza juu na juu mpaka kufikia usawa wa mita 200 mpaka 300 kwenda juu. Nafurahi sana nikiruka hivyo. Watu wanakusanyika wananishangaa huo uwezo. Nakuwa naruka sehemu moja,siendi mbali. Huwa nafurahia sana nikiwa ktk hiyo hali. Na hii naiota mara nyingi sana.
2. Naota naimba hivi. Kila nikiimba huo wimbo unakuwa na merod nzuri sana. Kila nikiimba ndotoni wimbo unakuwa mzuri sana. Mara moja moja nikishtuka nafanikiwa kujirecod kwenye simu vile nilivyokuwa naimba ndotoni.
Mfano ,ingekuwa unaweza record kila kilichotokea kwenye ndoto,amini kuna mambo mengi tungeweza jifunza na kuyafaham.
 
Ni kazi unless ukiwa mazingira ya mchana ukutane na kitu kilichokuwa kwenye ndoto inaweza kukusaidia kukumbuka.
Kama ni muamini Mwombe Mungu akukumbushe maana Yeye husema na watu wake kwa kupitia ndoto.
Kusema na MUNGU inahitaji kuwa msafi sana.

Ila ni njia bora sana
 
Mimi nikiota

Sometimes nipo kwenye ndoto najua kabisa ninaota

Kama ni ya kutisha nafosi nishtuke usingizini japo inakuwa ngumu kama mwili vile umekakamaa

Ikiwa ni nzuri nafosi muendelezo sometimes nashindwa ku control narration
Nashtuka usingizini kesho naifosi hio ndoto naiota tena naendelea muendelezo
Kuna mda mwingine kweli unaota ndoto inatisha balaa,yani hadi ukiamka unashukuru ile ni ndoto tu.
 
Ndoto ni nyingi mojawapo ni hii

Tarehe 28.8.2021 wakati korona imepamba moto niliota nachanjwa chanjo ya korona usingizini, nilipoamka nilikuta matobo mawili mkono wa kushoto, niliyapiga picha na makovu yapo mpaka leo.

Wakati mwingi naota naimba yaani naimba nyimbo za Mungu, its wonderful.

Hata wazazi wangu walipokaribia kufariki niliota, though walifariki miaka tofauti.

Majuzi hapo rafiki yangu aliyefariki kwa korona ambaye aliniaga na siku ya tatu akafariki niliota ananiambia waambie wajengee kaburi, nilipofuatilia kweli lilikuwa halijajengewa japo alifariki one year ago nimewapa habari (was my friend in Jesus Christ )
KRISTO huwa anasema na sisi kwa njia ya ndoto sana.
 
Mimi huwa naota ndoto ila nakuwa kama naona na kusikia.

Mfano ndoto za kula mzigo huwa nasikia kabisa hapa nacharaza mtu.

nisiseme sana kwa kweli
 
Kuna nyingine unakumbuka. Nyingine zinapotea kichwani kama upepo. But mimi sijawahi kuzitilia maanani ndoto...naonaga ni ubongo tu unaplay trick kwangu.
 
Vile vile ukiwa mtu ambaye mara nyingi unasema ukweli ndoto zako pia zitakuwa kweli na ukiwa muongo mara nyingi ndoto zako zitakuwa sio za kweli,note that!
 
Mimi huwa naota ndoto ila nakuwa kama naona na kusikia.

Mfano ndoto za kula mzigo huwa nasikia kabisa hapa nacharaza mtu.

nisiseme sana kwa kweli
Duuh,yako nzuri sana
 
Vile vile ukiwa mtu ambaye mara nyingi unasema ukweli ndoto zako pia zitakuwa kweli na ukiwa muongo mara nyingi ndoto zako zitakuwa sio za kweli,note that!
Duh,hii mpya.
 
Back
Top Bottom