Kuku Wangu hatagi

Kuku Wangu hatagi

Wakuu habarini za asubuhi Nina Kuku wangu tetea alitaga mzao Wa kwanza mayai 8 akakataa kuyatamia

Ilipofika muda Wa kutaga mzao wake Wa pili alianza kutetea kwa kasi sana na akitaka kutaga anaingia mahali pa kutagia anakaa hapo karibu nusu SAA anatoka nje bila kutaga yai hali hii imejirudia sana takribani wiki ya tatu sasa ......

Naomba ushauri wenu wakuu

NB; usiwe kuchinja
Mchinje kula nyama mkuu. Mayai yake utakuwa umeyafaidi si yapo ndani hayataki kutoka
 
Mchunguze huenda anakula
Wakuu habarini za asubuhi Nina Kuku wangu tetea alitaga mzao Wa kwanza mayai 8 akakataa kuyatamia

Ilipofika muda Wa kutaga mzao wake Wa pili alianza kutetea kwa kasi sana na akitaka kutaga anaingia mahali pa kutagia anakaa hapo karibu nusu SAA anatoka nje bila kutaga yai hali hii imejirudia sana takribani wiki ya tatu sasa ......

Naomba ushauri wenu wakuu

NB; usiwe kuchinja
Baada ya kutaga
 
Wakuu habarini za asubuhi Nina Kuku wangu tetea alitaga mzao Wa kwanza mayai 8 akakataa kuyatamia

Ilipofika muda Wa kutaga mzao wake Wa pili alianza kutetea kwa kasi sana na akitaka kutaga anaingia mahali pa kutagia anakaa hapo karibu nusu SAA anatoka nje bila kutaga yai hali hii imejirudia sana takribani wiki ya tatu sasa ......

Naomba ushauri wenu wakuu

NB; usiwe kuchinja
Atakua na upungufu wa vitamin, mnunulie Vitamin au kuna dawa inaitwa Egg Booster, wanayotumia wafugaji wa kuku wa mayai
 
Tatizo jogoo
mpande wewe kama una mda uone

Afu kuku m1 unaanzisha mada?
 
Egg Booster pia ni mchanganyiko wa vitamin tu, ukiwapa halafu wakapata maji na chakula vizuri huongeza production ya mayai sana
Hiii dawa inauzwa sh ngapi
@maana mie nawalisha pumba yenye mchanganyiko Wa mashudu ya pambaaa
 
Atakuwa na problem kwenye menstruation circle yake au amekuwa shoga!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom