Kuku wa kienyeji wanauzwa

Kuku wa kienyeji wanauzwa

Joined
Feb 10, 2013
Posts
14
Reaction score
1
Kwa mtu anae hitaji kuku na mayai ya kuku wa kienyeji wasiliana nami kwa namba 0756868912
bei yao kwa mtu anae chukua kuanzia kuku 20 ni shilingi 10000/= kwa kila mmoja wana umli usiopungua miezi sita kwa wote kwa anae wahitaji na aliepo jijini dar es salaam tuwasiliane
 
Mkuu hawa ni kuku wetu wa kienyeji kabisa au ni chotara? na je unao wadogo wa wiki 3-6?
 
Mimi ninao wa Wiki 3 hadi sita nauza kama ifuatavyo, vifaranga wa kuanzia siku moja hadi wiki 2 (Tshs 2000), wiki 2 hadi mwezi mmoja (Tshs 2500) na kuanzia mwezi hadi miezi 2 (Tshs 3500), Kuanzia miezi miwili hadi mitatu na nusu (Tshs 5000) Karibu sana. Ni PM kwa maelezo zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom