baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 2,710
- 4,450
Tumezoea kuku kama kitoweo au chanzo cha mayai, na ni nadra kumkuta kuku mwenye kipaji labda mbwa au paka.
Cha kushangaza kwenye mashindano ya got talent kuku mmoja ameletwa anapiga kinanda, kuku huyu ambae amesoma alama za nyakati ili asichinjwe na kuliwa anaitwa jokgu
Muangalie hapa
Cha kushangaza zaidi sasa, kuna wahenga humu jukwaani wanashindwa kipaji na huyu kuku maana hata kinanda wengine hawajui kipo vipi.
Cha kushangaza kwenye mashindano ya got talent kuku mmoja ameletwa anapiga kinanda, kuku huyu ambae amesoma alama za nyakati ili asichinjwe na kuliwa anaitwa jokgu
Muangalie hapa
Cha kushangaza zaidi sasa, kuna wahenga humu jukwaani wanashindwa kipaji na huyu kuku maana hata kinanda wengine hawajui kipo vipi.