Habari wadau wa ufugaji,
Nina kuku wangu ninayempenda sana amepatwa na kaugionjwa bado sijakaelewa. Ugonjwa wenyewe ni kukimbia kimbia na kuzungua na kukosa balance na kuanguka akisimama.
Hapo ni kukimbia tena yaani kuna saa unaibuka na kuna saa anakuwa kama anataka kuwa sawa ila tatizo hawi stable kabisa yaa namwonea huruma asubuhi namlisha kama mtoto mdogo nikirudi kazini nimlishe tena kama mtoto mdogo.
Ukimwekea chakula kwenye chombo au chini kama maindi kumi mfano ili aokote indi moja inamchukua dakika zaidi ya 3 maana anakosa timing kabisa mpaka anakula udongo yaani anashindwa kuokota punje ya muindi.
Hivyo nimeamua tuu asubuhi nimpe chakula na maji na jioni tena nimpe tena sasa naulizia mtu mwenye kujua aina ya dawa anitajie jina maana humu jamii forum kuna wataalam wa kila aina nitakushukuru sana wewe ambaye utakuwa sambamba na mimi kumwokoa huyu kiumbe weka mbali ushauri wa kuchinja
Nina kuku wangu ninayempenda sana amepatwa na kaugionjwa bado sijakaelewa. Ugonjwa wenyewe ni kukimbia kimbia na kuzungua na kukosa balance na kuanguka akisimama.
Hapo ni kukimbia tena yaani kuna saa unaibuka na kuna saa anakuwa kama anataka kuwa sawa ila tatizo hawi stable kabisa yaa namwonea huruma asubuhi namlisha kama mtoto mdogo nikirudi kazini nimlishe tena kama mtoto mdogo.
Ukimwekea chakula kwenye chombo au chini kama maindi kumi mfano ili aokote indi moja inamchukua dakika zaidi ya 3 maana anakosa timing kabisa mpaka anakula udongo yaani anashindwa kuokota punje ya muindi.
Hivyo nimeamua tuu asubuhi nimpe chakula na maji na jioni tena nimpe tena sasa naulizia mtu mwenye kujua aina ya dawa anitajie jina maana humu jamii forum kuna wataalam wa kila aina nitakushukuru sana wewe ambaye utakuwa sambamba na mimi kumwokoa huyu kiumbe weka mbali ushauri wa kuchinja