Mp steve
Member
- Feb 28, 2019
- 26
- 12
Kuku wangu ana wiki na nusu sasa anasumbuliwa na huo ugonjwa ambao bado sijajua ni ugonjwa gani. Kiukweli,
anakohoa na kupiga chafya halafu ukimsikilizia kwa muda flani hivi unasikia kama anakoroma ndani ya mwili wake.
Kwa anaejua huu ni ugonjwa gani naomba msaada, pamoja na matibabu yake na kinga kiujumla..
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
anakohoa na kupiga chafya halafu ukimsikilizia kwa muda flani hivi unasikia kama anakoroma ndani ya mwili wake.
Kwa anaejua huu ni ugonjwa gani naomba msaada, pamoja na matibabu yake na kinga kiujumla..
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app