johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,955
- 141,942
Kiukweli baada ya kusikiliza mchango wa Sophia Mwakagenda na nukuu zake za maandiko matakatifu ni dhahiri Chadema haina wabunge pale.
Hii siyo Chadema ile ya akina Tundu Lisu na J J Mnyika
Nakubaliana na Daudi Mchambuzi kwamba wale covid 19 siyo mali ya Chadema.
Maendeleo hayana vyama!
Hii siyo Chadema ile ya akina Tundu Lisu na J J Mnyika
Nakubaliana na Daudi Mchambuzi kwamba wale covid 19 siyo mali ya Chadema.
Maendeleo hayana vyama!