Waungwana salama jamani, sasa karibia mwezi tangu nipeleke Cv yangu pale Aga Khan Hospital ya kuomba nafasi ya kuvolunteer kwa nafasi ya Umeme lakini mpaka sasa naona kimya, Hivi niendelee kuvuta subira ama nikate tamaa tena ya kupata nafasi?
ukweli ni kwamba usipokua mfuatiliaji mambo yanakua mazito! ninachokuomba usikate tamaa fuatilia na pia volunteer usiombe sehemu moja kwani ni wachache wanaokubali jitahidi kupeleka sehemu mbalimbali najua ipo sehemu moja wapo mungu atakupokelesha!
ukweli ni kwamba usipokua mfuatiliaji mambo yanakua mazito! ninachokuomba usikate tamaa fuatilia na pia volunteer usiombe sehemu moja kwani ni wachache wanaokubali jitahidi kupeleka sehemu mbalimbali najua ipo sehemu moja wapo mungu atakupokelesha!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.