Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 11,351
- 13,882
Hili ni kweli wala halina ubishi
Wala hata sina nia ya kujuana mkuu, ni kuwa nilipoona hilo jina nikakumbuka hilo uukio, basi.
Sasa.unaleta story za Demu wako kwenye uzi wangu ili Nini....Kamatafute huko FB. Hayo majina tuko wengi Kama Stephen.Wala hata sina nia ya kujuana mkuu, ni kuwa nilipoona hilo jina nikakumbuka hilo uukio, basi.
RelaxSasa.unaleta story za Demu wako kwenye uzi wangu ili Nini....Kamatafute huko FB. Hayo majina tuko wengi Kama Stephen.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi tangu November 2016 nilimpatia 850,000/= Uncle kwa mpango kuwa mwisho wa mwezi atanirudishia lakini hadi Leo hii 2020 hajanipa hata senti.Aisee kukopeshana me hapana. Same things kimetokea kwangu dah. Yaani mtu alikua na shida sana akaomba 200,000/= dah nikajitoa nikampa aisee tokea July 2019 Hadi 2020 kanilipa 50,000 tu viteteo kibao. Sema basi tu life goes on.
Kuna mikopo, kusomesha, Ujenzi, starehe za mjini + majukumu ya kawaida ya kila siku.Kwa 3m?! Yani kwa matumizi yami m3 iishe katikati ya mwezi au unatumia 200k per day?!
Manager!!!!
Wana ujasiri kwenye vitu vya kipuuzi.Kuna watu hawaogopi kudaiwa
Kuna watu hawaogopi kudhulumu
Kuna watu hawaogopi kupoteza urafiki kwa sababu ya deni
Jr![]()
Hela yako ulikuja kulipwa?