Kukopeshana ni mwanzo wa Uadui

Kukopeshana ni mwanzo wa Uadui

Aisee kukopeshana me hapana. Same things kimetokea kwangu dah. Yaani mtu alikua na shida sana akaomba 200,000/= dah nikajitoa nikampa aisee tokea July 2019 Hadi 2020 kanilipa 50,000 tu viteteo kibao. Sema basi tu life goes on.
Alafu unajua ndio maana mabenki yanatajirika kwa kupitia uninga wetu. Tungekuwa twakopesha na kurudishiana in time mbona hamna haja ya kwenda bank.
Wafu wapuuzi sana.
 
Hebu fanya uatafiti ujiridhishe kama kweli ni yeye uliwasiliana nae, maana huenda umetapeliwa na Mtu mwingine.
 
Ni manager kabisa huko afanyako kazi...Nimtu namfahamu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpigie kwa namba nyingine. Ulipokuwa unampa mliongea na kuhakikisha ni yeye au uli-respond msg tu? Siku hizi kuna matapeli wanatafuta details za mtu wako wa karibu na namba wanaweza kui-hack unapopata msg unaona kabisa kama imetoka kwa mtu unayemfahamu.
 
Na rafiki yako wa karibu akitaka kukukopa umwambie akupe dhamana anakushangaa.
 
Ndio umekuja kunisema huku. Sasa waambie wanajf wakurudishie....
 
Back
Top Bottom