Kukopeshana ni mwanzo wa Uadui

Kukopeshana ni mwanzo wa Uadui

Quetzal

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2018
Posts
6,345
Reaction score
10,822
Aisee nimeshangaa Sana, Kuna kijana mmoja anafanya kazi mwanachi communications Ni rafiki yangu wa Miaka mingi, japo hatuonana kwa Miaka sasa.

Kuna Siku alinipigia simu akasema amekwama Sana nimkopeshe 50K. Kwakweli kutokana na urafiki wetu nikamkopesha, Alinitumia na salary slip yake take-home yake Ni Kama 3M na ushee.

Cha kustaajabisha kapotea hewani napiga simu inakatwa na sasa kaniblock. Nimeshangaa mtu na hadhi yake wa wadhfa anawezaje nidhulumu elfu hamsini.

Amakweli nimeshangazwa na tendo la huyu kijana mwenye wadhfa wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kagebby,
Ulimnyima k ukampa dereva bajaji akaona isiwe shida akutoe 50 amhonge mbadala wako! Sasa alipe ya nini? Hapo hakuna deni
 
kagebby, Wakati mwingine inaweza kufikia huko kwenye uadui hasa pale mdaiwa anaoshindwa kulipa na kuanza kumkwepa mdai wake,badala ya kuwa muwazi juu ya kinacho mkwamisha kulipa.

Lakini mkuu kama unasema hiyo jamaa ni rafiki yako wakaribu hebu mtafute ana kwa ana ujue kulikoni.
 
Wakati mwingine inaweza kufikia huko kwenye uadui hasa pale mdaiwa anaoshindwa kulipa na kuanza kumkwepa mdai wake,badala ya kuwa muwazi juu ya kinacho mkwamisha kulipa.

Lakini mkuu kama unasema hiyo jamaa ni rafiki yako wakaribu hebu mtafute ana kwa ana ujue kulikoni.
Tatizo nipo mkoa tofauti na yeye mkuu. Labda watu hubadilika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee kukopeshana me hapana. Same things kimetokea kwangu dah. Yaani mtu alikua na shida sana akaomba 200,000/= dah nikajitoa nikampa aisee tokea July 2019 Hadi 2020 kanilipa 50,000 tu viteteo kibao. Sema basi tu life goes on.
 
mm namdai mtu 480k na hana hata mpango wa kunilipa toka October mpaka saiz ananizungusha tu nimeamua nikaushe tu nikama kashanidhurumu.
 
Kuna watu hawaogopi kudaiwa
Kuna watu hawaogopi kudhulumu
Kuna watu hawaogopi kupoteza urafiki kwa sababu ya deni
Aisee nimeshangaa Sana, Kuna kijana mmoja anafanya kazi mwanachi communications Ni rafiki yangu wa Miaka mingi, japo hatuonana kwa Miaka Sasa.

Kuna Siku alinipigia simu akasema amekwama Sana nimkopeshe 50K. Kwakweli kutokana na urafiki wetu nikamkopesha, Alinitumia na salary slip yake take-home yake Ni Kama 3M na ushee .


Chakustaajabisha Kapotea hewani naoiga simu inakatwa na Sasa kaniblock. Nimeshangaa mtu wa hadhi yake was wadhfa anawezaje nidhulumu elfu hamsini.

Amakweli nimeshangazwa na tendo la huyu kijana mwenye wadhfa wake.

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr
 
Vp kama aligushi salary slip
M3 take home kukopa 50k uongo anamatumizi ya aina gani huyo jamaa
issue ya kawaida kabosa hiyo kwa wafanyakazi, kuna tarehe za mkwamo hapo kati ya mwezi kuanzia tarehe 13 mpaka kupata salary
 
issue ya kawaida kabosa hiyo kwa wafanyakazi, kuna tarehe za mkwamo hapo kati ya mwezi kuanzia tarehe 13 mpaka kupata salary
Kwa 3m?! Yani kwa matumizi yami m3 iishe katikati ya mwezi au unatumia 200k per day?!
 
Kwa 3m?! Yani kwa matumizi yami m3 iishe katikati ya mwezi au unatumia 200k per day?!
majukumu yanatofautiana kuna watu tulisomeshwa na kijiji, ila kushindwa kulipa 50k ni either anamajanga yake mengine au ni wale wadaiwa sugu
 
Aisee ni Bora mtu utoe msaada bila kufanyiwa fadhila kuliko umkopeshe mtu asikulipe.
 
Back
Top Bottom