Kukojoa mara kwa mara kunatokana na nini?

Umeshaambiwa hapo juu nenda kapime kuna uwezekano una ugonjwa wa kisukari,

Nimesema nshaenda hospital wakasema Hanna sukari mbona hauwelewi wewe! Alafu nilikwambia mkojo unasumbua usiku tu na mkojo unakuwa Mdogo Mdogo sio ile chwaaaa mpaka jagi linajaa.naitaji madaktari jamani Wazoefu
 
Mbona tunaambiwa kuwa kunywa maji mengi ni moja ya njia kuondoa sumu mwilini?
Mkuu wala huna tatizo kabisa,Tatizo pekee ni kwamba unakunywa maji mengi sana hata kama huna kiu hapo lazima utakojoa mara kwa mara wala sio ugonjwa mkuu,punguza kunywa maji mengi kupita kiasi
 
Jamani tatizo langu ni kukojoa mara kwa mara ninapokunywa kimiminika chochote. Hali hii hunikosesha raha maana kama nina mkutano inabidi nisinywe chai wala maja.

Kitendo cha kunywa glass moja ya maji au kikombe cha chai kinanifanya nihudhurie maliwatoni kila baada ya dk 7 hadi 10 mara 3 au 4 ndo nakuwa sawa.

Nikinywa bia hali ndio inakuwa mbaya zaidi... Hali hii inaninyima raha sana. Je ni tatizo gani na nifanye nini?

==


==


Sababu za kukojoa mara kwa mara


Wanaume,hasa wenye umri mkubwa husumbuliwa na ugonjwa wa Saratani ya Tezi Dume ‘Prostate' (Tezi kibofu ya mamalia Dume). Ni tezi iliyo kwenye viungo vya uzazi vya wanaume kilicho chini ya kibofu panapopitia mrija wa mkojo.Kazi ya ‘prostate' ni kudhibiti kibofu na mtiririko wa mkojo.

Pia ni muhimu katika tendo la ndoa kwani humwezesha mwanamume kuwa na nguvu ya kufikia kilele. Inatoa asilimia 95 ya ute unaosafirisha mbegu za kiume kwani ina nguvu ya kusukuma ute ulio na mbegu ili

upite kwenye mrija wa kukojolea na kutoa mbegu n-nje.‘Prostate' ya kawaida kwa mwanamume mtu mzima ina ukubwa kama punje ya karanga na ukubwa huu huongezeka kadiri mtu anavyokua,

hasa pale anapofikisha umri wa miaka 40 na kuendelea. Katika umri wa miaka 40 tezi huanza kutanuka na

kadiri inavyotanuka, hubana mrija wa kupitisha mkojo na kufanya mkojo utoke kwa shida na kusababisha tatizo katika tendo la ndoa.


Dalili za mwanzo ni kwenda haja ndogo mara kwa mara, hasa usiku; haja ndogo isiyoweza kudhibitiwa na mara nyingi mtu huweza kujikojolea. Pia mkojo hutoka kwa udhaifu ama kwa kukatika katika, kupata shida wakati wa kukojoa wakati wa kuanza au kumaliza.


Wakati mwingine mwanamume hupata maumivu wakati wa kukojoa na hata kutoka damu. Maumivu huenea kwenye sehemu za mgongo, kiuno na sehemu za juu ya mapaja na kupunguza uwezo wa tendo la ndoa au kupata maumivu wakati wa kufikia kilele. Pia kutokuwa na amani au kuhangaika wakati wa tendo la ndoa.

Matatizo mengine ni kupata maambukizi ya magonjwa kwenye kibofu, njia ya mkojo na figo. Kwa hiyo mkojo hubaki kwenye damu na kuwa sumu. Utafiti waonesha kuwa asilimia 50 ya wanaume wa umri kati ya 50 na 70 wana shida ya kutanuka tezi la ‘prostate'. Asilimia 25 ya wanaume wenye umri wa miaka 30 wana chembechembe za ‘prostate cancer'.

‘Prostate Cancer' ndio aina kuu ya ‘Cancer' (saratani) inayowashambulia sana wanaume na yaweza kuwa hafifu, inayotibika au kumdhuru mtu na kumwua. Nenda Kapime hospitali Maradhi ya ‘Prostate cancer' Tezi Dume.
 

Sababu za kukojoa mara kwa mara


Wanaume,hasa wenye umri mkubwa husumbuliwa na ugonjwa wa Saratani ya Tezi Dume ‘Prostate’ (Tezi kibofu ya mamalia Dume). Ni tezi iliyo kwenye viungo vya uzazi vya wanaume kilicho chini ya kibofu panapopitia mrija wa mkojo.Kazi ya ‘prostate’ ni kudhibiti kibofu na mtiririko wa mkojo.

Pia ni muhimu katika tendo la ndoa kwani humwezesha mwanamume kuwa na nguvu ya kufikia kilele. Inatoa asilimia 95 ya ute unaosafirisha mbegu za kiume kwani ina nguvu ya kusukuma ute ulio na mbegu ili

upite kwenye mrija wa kukojolea na kutoa mbegu n-nje.‘Prostate’ ya kawaida kwa mwanamume mtu mzima ina ukubwa kama punje ya karanga na ukubwa huu huongezeka kadiri mtu anavyokua,

hasa pale anapofikisha umri wa miaka 40 na kuendelea. Katika umri wa miaka 40 tezi huanza kutanuka na

kadiri inavyotanuka, hubana mrija wa kupitisha mkojo na kufanya mkojo utoke kwa shida na kusababisha tatizo katika tendo la ndoa.


Dalili za mwanzo ni kwenda haja ndogo mara kwa mara, hasa usiku; haja ndogo isiyoweza kudhibitiwa na mara nyingi mtu huweza kujikojolea. Pia mkojo hutoka kwa udhaifu ama kwa kukatika katika, kupata shida wakati wa kukojoa wakati wa kuanza au kumaliza.


Wakati mwingine mwanamume hupata maumivu wakati wa kukojoa na hata kutoka damu. Maumivu huenea kwenye sehemu za mgongo, kiuno na sehemu za juu ya mapaja na kupunguza uwezo wa tendo la ndoa au kupata maumivu wakati wa kufikia kilele. Pia kutokuwa na amani au kuhangaika wakati wa tendo la ndoa.

Matatizo mengine ni kupata maambukizi ya magonjwa kwenye kibofu, njia ya mkojo na figo. Kwa hiyo mkojo hubaki kwenye damu na kuwa sumu. Utafiti waonesha kuwa asilimia 50 ya wanaume wa umri kati ya 50 na 70 wana shida ya kutanuka tezi la ‘prostate’. Asilimia 25 ya wanaume wenye umri wa miaka 30 wana chembechembe za ‘prostate cancer’.

‘Prostate Cancer’ ndio aina kuu ya ‘Cancer’ (saratani) inayowashambulia sana wanaume na yaweza kuwa hafifu, inayotibika au kumdhuru mtu na kumwua. Nenda Kapime hospitali Maradhi ya ‘Prostate cancer’ Tezi Dume.

Sasa mzizi Mkavu mwuliza swali ni mwanamke, sidhani kama umemjibu mkuu.
 
Jamani tatizo langu ni kukojoa mara kwa mara ninapokunywa kimiminika chochote. Hali hii hunikosesha raha maana kama nina mkutano inabidi nisinywe chai wala maja.

Kitendo cha kunywa glass moja ya maji au kikombe cha chai kinanifanya nihudhurie maliwatoni kila baada ya dk 7 hadi 10 mara 3 au 4 ndo nakuwa sawa.

Nikinywa bia hali ndio inakuwa mbaya zaidi... Hali hii inaninyima raha sana. Je ni tatizo gani na nifanye nini?

==


==


KUTOKWA KWA MKOJO KWA WINGI BILA YA KHIARI (POLYURIA):

497px-ADH3.svg.png



Haya ni maradhi ya kutokwa na mkojo bila ya khiari . Kabla mkojo haujakusanyika vizuri kwenye kibofu cha mkojo na mgonjwa kujiandaa kwenda
chooni, hutokwa na mkojo hata kabla ya kufika chooni.

SABABU: (1) Kulegea kwa kibofu cha mkojo.
(2) Maradhi ya kisukari.
(3) Kuwa na minyoo tumboni.
(4 Kutumia madawa ambayo huchochea kutokwa kwa mkojo.
(5) Kuwa katika mazingira au hali ya

hewa ya baridi.
(6) Kunywa kwa wingi vinywaji, pombe,n.k.

Ukitaka Dawa nitafute mimi kwa kubonyeza hapa.Mawasiliano
 
Wadau,

Home kwangu naishi na Kijana mmoja, shemeji yangu ambae yuko likizo. Leo ni siku ya nne ananiambia amekuwa akibanwa na haja ndogo kila mara, tuseme kila baada ya dakika 10-15 au hata 20 sometimes. Nimemuona hata nikiwa nae anaenda sana Chooni.

Nimejaribu kuangalia life style yake, jamaa anakunywa sana Juice na Maji but hii sio mara yake ya kwanza kuja kuishi kwangu, na kujipendelea juice na maji vya kutosha, huko kabla hakuwahi kuwa na hii problem.

Leo asubuhi kaniambia kajaribu kuonja mkojo wake akakuta mtamu mtamu, sasa issue ni kwamba huu ni ugonjwa au kawaida? Why now na sio kabla while life style ya juice anayo toka kabla?

Msaada please!!
 
aaah kama mkojo ni mtamu iyo ni diabate. msii aache kunywa juice zenye suksri haraka sana. aanze dozi ya kisukari faster dawa ni Gemma 1.
 
Wadau,

Home kwangu naishi na Kijana mmoja, shemeji yangu ambae yuko likizo. Leo ni siku ya nne ananiambia amekua akibanwa na haja kubwa kila mara, tuseme kila baada ya dakika 10-15 au hata 20 sometimes. Nimemuona hata nikiwa nae anaenda sana Chooni.

Nimejaribu kuangalia life style yake, jamaa anakunywa sana Juice na Maji but hii sio mara yake ya kwanza kuja kuishi kwangu, na kujipendelea juice na maji vya kutosha, huko kabla hakuwahi kua na hii problem.

Leo asubuhi kaniambia kajaribu kuonja mkojo wake akakuta mtamu mtamu, sasa issue ni kwamba huu ni ugonjwa au kawaida? Why now na sio kabla while life style ya juice anayo toka kabla?

Msaada please!!

Aende akapime kisukari, kwani hiyo ni dalili moja wapo ya ugonjwa wa kisukari
 
Mara haja ndogo mara kubwa niaje? Mwambie anye kadri awezavyo.

be careful ndg maradhi ayo hajapenda na wala hajamkosea mola wake ata apate dhiaka toka kwako...
zaidi wewe hujachaangia lolote katika kuifanya afya iyo yako iwe nzuri ata kuwadhiaki wengine
 
Aende akapime kisukari, kwani hiyo ni dalili moja wapo ya ugonjwa wa kisukari

Ahsante Mkuu, nitamshauri hivyo. Naona mchango wako ndio uko serious, wengine wanaleta utani kwenye swala nyeti la ugonjwa!!
 
Wewe ulisema mkeo kazaliwa peke yake....leo hii shemeji katoka wapi?

Wewe story za kitandani ziishie kule kule kitandani, kwanza Shemeji anaweza kua mtu alieoa kwetu. Au Shemeji wa mdogo wangu si Shemeji yangu vilevile.
 
aaah kama mkojo ni mtamu iyo ni diabate. msii aache kunywa juice zenye suksri haraka sana. aanze dozi ya kisukari faster dawa ni Gemma 1.

Ahsante Mkuu,
Yeye ni mnywaji wa juice za natural, ila anakunywa sana, Mpaka Lita 2 au 3 kwa siku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom