Pole sana inategemea upo nchi gani za baridi? mimi pia huwa inanitokea wakati wa baridi nakunywa sana chai na kwenda haja ndogo na nipo nchi za baridi hali ya hewa yake na joto pia lipo kwa wakati wake maalum. Kwani unapokwenda hiyo haja ndogo kuna maumivu yoyote yale? kama hakuna maumivu ni hali ya hewa huko uliko kwenda haja ndogo wkati wa baridi ni kawaida tu. lakini ikiwa unapata hiyo haja ndogo na unasikia maumivu itabidi umuone Daktari haraka.wadau nina tatizo,,,siku kukiwa na baridi ninaenda haja ndogo mara kwa mara, nauliza hivi ni ugonjwa au kawaida ?
Mkuu King'asti Ni kweli ningeli mngojea, The secretary amaliza kazi yake kisha ningeliingia mimi . Kukojoa kwa nchi za baridi kunatokana na hali ya hewa ya baridi kibofu chako cha mkojo kinafanya kaziMziziMkavu, ungesubiri the secretary amalize kuchukua maelezo na mie mhasibu kumkatia risiti. Si ataenda toilet apitilize bila kulipa?
wadau nina tatizo,,,siku kukiwa na baridi ninaenda haja ndogo mara kwa mara, nauliza hivi ni ugonjwa au kawaida ?