nyamva
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 235
- 144
Habarini zenu wataalam,Nisikuchosheni nakuja kwenu nikiwa na tatizo la kukojoa damu yaani kifupi niligundua tatizo hili nilipokuwa chooni, Choo kilikuwa cha shida Sana kulingana na nguo niliyokuwa nimevaa haikunipa uhuru WA kupata Choo kwa urahisi (ilibana mapaja),
Mimi ni ME mwenye miaka 38,baada ya kujikamua Sana nilipata Choo Ila baada ya hapo mkojo ulitoka baadaye ikafuata damu!!,
Nilijipa Moyo kuwa huenda nimeubana Sana uume hivyo kupasua mishipa YA damu.
Maisha yaliendelea nikiwa napata mkojo BILA damu Ila kukawa na vimaumivu flani baada ya kukojoa.
SHIDA IMEKUJA nikishiriki tendo la ndoa nikifikia mshindo shahawa inatoka Ila baada ya dakika chache damu inatoka,Jambo hili linanivuruga sio Siri.Hali hii imetokea mara tano hivi
Humu naamini kuna mkusanyiko WA wataalam ambao nina IMANI watanipa A BC za kuanzia nawakaribisha Kwa ushauri N.B Sijawahi kutumia dawa yoyote.
NAOMBA KUWASILISHA
Mimi ni ME mwenye miaka 38,baada ya kujikamua Sana nilipata Choo Ila baada ya hapo mkojo ulitoka baadaye ikafuata damu!!,
Nilijipa Moyo kuwa huenda nimeubana Sana uume hivyo kupasua mishipa YA damu.
Maisha yaliendelea nikiwa napata mkojo BILA damu Ila kukawa na vimaumivu flani baada ya kukojoa.
SHIDA IMEKUJA nikishiriki tendo la ndoa nikifikia mshindo shahawa inatoka Ila baada ya dakika chache damu inatoka,Jambo hili linanivuruga sio Siri.Hali hii imetokea mara tano hivi
Humu naamini kuna mkusanyiko WA wataalam ambao nina IMANI watanipa A BC za kuanzia nawakaribisha Kwa ushauri N.B Sijawahi kutumia dawa yoyote.
NAOMBA KUWASILISHA