Kukiri

Kukiri

Ungekuwa umeolewa na huyo kijana,ungeleta uzi humu unampenda Boss wako....wanawake hamjuagi mnataka nin
 
Ndiyo maana napata wasiwasi hata kuoa mwakani aisee!

Kumwamini mwanamke ni hatari sana katika maisha ya mwanaume.

Usiposhinda hizo hisia zako kuna
1. Kusaliti ndoa yako
2. Kumharibia kazi kijana huyo
3. Kudharirishwa huyo kijana hasa siku akifumaniwa (Kupigwa au KY ikihusishwa)
4. Kifo kati yako au huyo kijana wa watu.

Ridhika na hali yako na uliyenaye dadangu!
Au hukuona wenzako walivyo wengi na warembo zaidi yako wanavyotafuta pale Mlima wa moto?
Inabidi niache kazi sitaki kumuona tena
 
Kupenda haina maana ndo umekuwa malaya, hapana ni hisia tu ila je utazicontrol vipi? Mtu anaweza akaona au akaolewa lakini bado akatamani wengine hivyo ni swala la mtu mwenyewe kujicontrol. Kwani wanaume kwa siku tunatamani wangapi, si ni wengi, sasa hvyo ni uamuzi wa mtu na sio UMALAYA
Asante
 
Na ubaya ni kwamba utakuwa sababu ya kijana kupoteza kibarua chake maskini! Kama mumeo ni mtu anakupenda na anakujali sioni sababu za wewe kupata hisia za kimapenzi kwa mwanaume mwingine shouger tulia na ndoa yako km inakupa heshima na thamani sjui hujaona kule MLIMA WA MOTO mabinti wanavohangaika kutafuta ndoa BILA DALILI??
Hivi vitu kama hujakutana navyo nirahisi sana kushangaa na kuhukumu lakini vipo na hutokea tu, mimi pia nimeolewa na ninampenda mno mume wangu na nina muheshimu sana lakini niliwahi kukutana na mwanaume mmoja aisee from nowhere nilianza kuhisi kumpenda vibaya mno, ofcoz sikumuonyesha mana sikutaka ajue na sikuwa na mpango wa kuanzisha nae mahusiano lakini nilikuwa nikikutana nae nahisi kuchanganyikiwa nikawa nasali Mungu aniondolee ile hali mana hata cjui kwanini nilikuwa nahisi vile mana sikuwa na mpango kabisa wa kusaliti ndoa yangu ila nna shukuru baada ya muda fulani ile hali ikaanza kuondoka na uzuri zaidi jamaa akaja akahama huo mtaa nikamsahau kabisaaa,
 
Vitu vingine unatamani nakuviacha.sio kila unachotamani unakichukua.
Kwakua ni mbaya kutamani lakini sio kama watu hawatamani

Naelewa hali unayoipitia ila nakushauri punguza mazoea nae na ji keep busy usiruhusu kijana akuzoee zaid maana hapo ndio mtaongeza tatzo,fanya kazi zako jistir vzr kitu kibaya ni kuwa licha ya wew kuwa na upendo wa kawaida na huyo kijana ila unaweza ukamfukuzisha kazi hapo unakuwa umemharibia maisha....kama unataka kumharibia maisha basi endelea ila kama una upendo nae mzur basi jitahid
 
Idle Hands are the devil playthings...

Umekosa vitu vya maana kuifikirisha akili yako kwahio inatafuta cha kufanya.., Kama ni mtu wa imani anza kuwaza ni nani alimuumba Muumba.., au kama mtu wa sayansi waza mambo ya quantum mechanics
 
Nnachokushauri dont act on those feelings, hapo sana sana nnachokiona huyo kijana wala hakupendi ila ameshagundua udhaifu wako so anataka kutumia fursa akutumie kwa maslahi yake kashaona chance ya sugar mamy hii hapa
 
Acha kumbania kijana nae ana moyo

Mpe Mara Moja tu halafu muachane nenda katubu halafu mpende mume wako utajiskia vzur tu


Usiogope uwezi kushikwa Mara ya Kwanzaa
 
Hivi vitu kama hujakutana navyo nirahisi sana kushangaa na kuhukumu lakini vipo na hutokea tu, mimi pia nimeolewa na ninampenda mno mume wangu na nina muheshimu sana lakini niliwahi kukutana na mwanaume mmoja aisee from nowhere nilianza kuhisi kumpenda vibaya mno, ofcoz sikumuonyesha mana sikutaka ajue na sikuwa na mpango wa kuanzisha nae mahusiano lakini nilikuwa nikikutana nae nahisi kuchanganyikiwa nikawa nasali Mungu aniondolee ile hali mana hata cjui kwanini nilikuwa nahisi vile mana sikuwa na mpango kabisa wa kusaliti ndoa yangu ila nna shukuru baada ya muda fulani ile hali ikaanza kuondoka na uzuri zaidi jamaa akaja akahama huo mtaa nikamsahau kabisaaa,
Umeongea moyo wangu.
Hata wanaume wanatamani tu tatizo wao wanaona ni kawaida ila ikitokea kwa mwanamke ndo wananona ni haiwezekani.
Kuna ile unampenda mtu lakini hujawahi hata kuwaza kwamba utoke nae kimapenzi.
Umemaliza kabisa
 
Naelewa hali unayoipitia ila nakushauri punguza mazoea nae na ji keep busy usiruhusu kijana akuzoee zaid maana hapo ndio mtaongeza tatzo,fanya kazi zako jistir vzr kitu kibaya ni kuwa licha ya wew kuwa na upendo wa kawaida na huyo kijana ila unaweza ukamfukuzisha kazi hapo unakuwa umemharibia maisha....kama unataka kumharibia maisha basi endelea ila kama una upendo nae mzur basi jitahid
kweli
 
Back
Top Bottom