Kukataliwa kunauma

Kukataliwa kunauma

Looool mwanamke anatakiwa akupende yeye usimtengenezee mazingira ya yeye kukupenda tena ikibid J-mosi mtokee ukiwa raf raf - Usijilize lize kwake kutafta sabab kama hakupend hakupendi tu USIJARIB KUMTAKA AKUHURUMIE utateseka mpaka ushangae - Wanawake wana mengi mwache aendelee na safari labda wewe automaticaly sio mwanaume alieko akilin mwake / ndoto zake hawa viumbe noma mno - Hakikisha humtegi itakucost
 
Mbona kama ulipendeza tu.......labda hizo raba zilikuwaje.....?.....isije kuwa zile ulimi nje.......au mkate boflo........unajua swala la viatu wadada tunaangalia sana.........
Lakini kwa maelezo yako.......nadhani ulipendeza........dada tu anataka kukuletea tashtiti......we kutana nae hiyo jumamosi.......halafu uje utuambie kasemaje.........
Usisahau kunitag........sawa eeeh.......

Kwa hiyo sisi wavaa makatambuga imekula kwetu?.
 
Labda ni story ndo hazikumvutia kwasababu alikuwa na haraka ya kurudi home kwan mda ulikuwa umeenda! Mavazi yalikuwa ya kawaida(t-shirt nyeupe,jeans nyeuc na raba nyeupe)! nilimuuliza ka ni muonekano wangu aniambie ukweli akasema muonekane haukuwa na shida!!

Nimeomba niutane nae tena jumamosi ndo atakuwa free!!Ngoja nikamsikilize kama kabadili msimamo wake au ananijaribu

Mkuu, hata kama atakuwa kabadili msimamo ila taka kujua kwann alikwambia vile..
 
Kingine kutafuta hawa watu mitandaoni usiweke asilimia miamoja kwamba umempata maana hata wewe inawezekana tu ungekutana na kituko cha mtu ungejuta nakughairi bahat mbaya imekuwa kwako - Jiwe na gizan usilitegemee litoe majib mazuri kivile ni 1/% - Endelea na usajil ila usimpende mtu bila ridhaa yake
 
Msema kweli mpenzi wa Mungu. Au ulikuwa umevaaje.? Maana usikute mkanda haukumatch na viatu... au hukupiga mswaki vizuri. Au hukubrush viatu, au ulipaka unyunyu mkali sana, au suruali haikuendana na shati... au ulinyoa kibwenzi... au hukupaka deodorant?

Au ulidundika sana mrembo akamind? au ulilipa bill hukutoa wallet ukafinyia hela mfukoni? Au story zako zilikuwa za my anko... my braza... my anti? Au hukwenda straight to the point?

Naomba usinichukie, nimejaribu kuangalia sehemu zinazotuput off wakinadada...

Kwani kutoa hela kwenye wallet ina uhusiano gani? Mimi sitembei na wallet koz inaniumiza nikikaa. Pesa zinatunisha so inakua kama mzigo. Nalipa bill hata kama ni laki ngapi na hela haitoki kwenye wallet. Kwanza naeza nkatoa kwenye socks kabisa kwani nin bana
 
Usiponijia na Merrel......Salomon......New Balance etc......imekula kwako.........

Duu... Ngoja nikomae na uvuvi wa dagaa!. Labda hayo madubwana uliyoyataja hapo ntayapata, halafu nakuzukia...!.
 
....Nimeomba niutane nae tena jumamosi ndo atakuwa free!!Ngoja nikamsikilize kama kabadili msimamo wake au ananijaribu

Bado unataka kuumizwa zaidi? achana nalo. History never changes, most likely what happened will happen again, hata kama siyo hiyo jumamosi!
 
Kingine kutafta hawa watu mitandaoni usiweke asilimia miamoja kwamba umempata maana hata wewe inawezekana tu ungekutana na kituko cha mtu ungejuta nakughairi bahat mbaya imekuwa kwako - Jiwe na gizan usilitegemee litoe majib mazuri kivile ni 1/% - Endelea na usajil ila usimpende mtu bila ridhaa yake

Acha mtu atafute, yawezekana mpendwa wake yuko humu, kibaya kwako kwangu kizuri, mliemdharau kijijini mimi ndo namheshimu.
 
Umekosea sana.. Wenzio hzo blind date tunazifanyia maghetoni.. Demu unakua umemshapanga kwamba anakuja gheto.. Akija gheto ukishindwa kula papuchi hiyo ni ujinga wako. Ukila papuchi hata kama aseme hakutaki haiumi..

Nimecheka sanaa.
 
Muulizeni jamaa kama alioga + deodorant/marashi vp ?? Vaa vaa yake ikoje ?? Tuanze hapo kwanza.
 
Msema kweli mpenzi wa Mungu. Au ulikuwa umevaaje.? Maana usikute mkanda haukumatch na viatu... au hukupiga mswaki vizuri. Au hukubrush viatu, au ulipaka unyunyu mkali sana, au suruali haikuendana na shati... au ulinyoa kibwenzi... au hukupaka deodorant?

Au ulidundika sana mrembo akamind? au ulilipa bill hukutoa wallet ukafinyia hela mfukoni? Au story zako zilikuwa za my anko... my braza... my anti? Au hukwenda straight to the point?

Naomba usinichukie, nimejaribu kuangalia sehemu zinazotuput off wakinadada...

Najifunza pia, mimi nina allergy na wallet, for some unknown reason sibebi wallet na sina honestly so I carry money and other things my way. Nisaidie kujua kama hili nalo ishu japo mimi siyo baili hela kwangu ni jambo ambalo halinipi shida na mtu.

Pili nisaidie nini athari ya kuongea my brother, my anko na mengine kama hayo kwa mwanaume who is trying to seduce a chick
 
Kwani ni lazima upendwe na yeye tu? Wanawake wako wengi, expectations zako si lazima ziwe kama unavyotaka, kama hakukupenda si mwisho wa maisha!
 
Mie ndio hapo nawaambiaga mapenzi ya kuigiza siyawezi! Ameshakuambia hakutaki then bado unapanga kukutana naye, for what?

1) Waweza kwenda sehemu mliyokubaliana na asije!
2) Anaweza akaja na still ukatumia gharama kwa kukuambia ndio na ukafurahi sana but hauwezi kuomba game siku hiyo hiyo na ukithubutu kujaribu jibu ni kwani haraka ya nini?
3) Baada ya kutoboka then kuachwa kuko palepale!
4) Ameshakataa, unapolazimisha waweza pata hifadhi ya muda but siku ukimkuta na ampendaye usirushe ngumi kwani vijana wadogo mna matatizo sana.

Hitimisho; mimi ni mfuasi sana wa wale wanaoniambia ukweli mapema kabisa kwani haiwezi kukupotezea muda kabisa, kuliko kufungishwa tera ndefu huku akakaa na wenzake story zote kwa kijana mwanaume mwingine sio wewe.

Punguza kuchat nae uone kama anamaanisha au laa! Asubuhi mpe hi then piga kimya, mchana hvyo hvyo. Jioni ufanye analysis amejibu ngap na kwa muda gani.

Boy:Hi baby at 8:30am
Girl:K au P at 1200 noon.
Boy:Mchana mwema at 1445 hrs
Girl:Thanx at 1756hrs.
Boy:Mbona unachelewa kureply?
Girl:Sina mb.
Muda huo wote ukimchek mara online mara typing hapo dogo pita KULEEEEEEE.
 
Acheni kupiga picha na mapozi mengi while reality is different....lakini pole ndo ukubwa. You can't force everyone to like you
 
Kaka tupo ndani ya mwezi wa ramadhan hivo haikuwezekana kufanya hivyo wote tulikuwa tumefunga!hata kukumbatiana haikuwezekana

Unaona ujinga wako. Ramadhani kitu gani ndiyo maana umekataliwa si ajabu dada wa watu alikuja na nyegemshindo akarudi nazo nyumbani kwa hasira akaamua KULA KIBUTI ZUZU WEE...
 
Back
Top Bottom