Chromium
JF-Expert Member
- Apr 17, 2008
- 589
- 185
Tunatofautiana. Mie nikisafiri siwezi piga stori. Safari nzima kusoma. Kama ni Arusha-Dar nafika nimemaliza kurasa 400. Hiace mjini na foleni hizi, The East African linaisha.
Haya mambo ya kurupukia mazungumzo na mtu usiyemfahamu si kwa kila mtu. Mnasalimiana briefly then kila mtu na lwake unless kuna cha kuulizana on the way.
Haya mambo ya kurupukia mazungumzo na mtu usiyemfahamu si kwa kila mtu. Mnasalimiana briefly then kila mtu na lwake unless kuna cha kuulizana on the way.