Kujufunza kufunga Dish

Kujufunza kufunga Dish

WENYELE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
1,465
Reaction score
1,551
Wakuu
Kama uzi unavyojieleza,naomba uzi huu uwe special kwa ajiri ya kujifunza kufunga ma-Dish ya Azam,Dstv na Continental
Je,kuwa fundi wa Dish unatakiwa kuwa na vifaa gani?
Asanteni
 
hata mi natamani kujua hii kitu ila umu JF naona hamna wataalamu
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Wakuu
Kama uzi unavyojieleza,naomba uzi huu uwe special kwa ajiri ya kujifunza kufunga ma-Dish ya Azam,Dstv na Continental
Je,kuwa fundi wa Dish unatakiwa kuwa na vifaa gani?
Asanteni
Spana size 10,12,13,14
Nyundo
Dispisi na utaalam..
 
Spana size 10,12,13 au Spana malaya, nyundo misumari nchi 4.nakutambua uelekeo wa dishi
 
hapo mtafute fundi aliye karibu nawe kubali kupoteza muda wako utafahamu tu.kuna jamaa nilimfungia dish mwaka jana siku hizi ameshaijua kazi hii maana amekuwa na bidii sana.mara kwa mara amefika kwangu akihitaji msaada na akifika huwa navuruga madish yangu na kuanza kumpa somo kwa vitendo
 
je kila kifaa kinachotumika kusaidia kutambus kama umefikia level nzuri huwa kinabeep sound kinaitwaje na kinspatikana wapi kwa maeneo ya Dsm?
 
je kila kifaa kinachotumika kusaidia kutambus kama umefikia level nzuri huwa kinabeep sound kinaitwaje na kinspatikana wapi kwa maeneo ya Dsm?
Kinaitwa satelite finder dar vina patika mchawi hela
 
Kwa Beginner kabisa tafuta fundi ukae nae walau siku moja tu uta master ukichanganya na YouTube basi utagain sana Skills unahitaji spanner size hii 10 mpaka 14 uwe na Satfinder zipo ambazo zinakuwa buildin na display ,Nyundo na Sprit level kwa ajili ya kuweka level surface au kujua Level iliyonyooka, Kila Dish lina uelekeo wake kulingana na Satellite unayoiwinda kwa hilo dish
 
Back
Top Bottom