Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,347
- 5,553
Waziri mkuu wa kwanza wa serikali ya awamu ya nne na mbunge wa Monduli, Mh Edward Lowasa ameamua kuwaachia ccm yenyewe iamua hatima yake ndani ya chama hicho na wakati huo huo ameandaa watu wa kulia, kuzimia, kuandamana na wakumpokea kishujaa endapo ataondolewa kwenye nyadhifa kwenye chama hicho!
Source: Dira ya mtanzania
Source: Dira ya mtanzania