Kujivua gamba: Lowassa abadili mbinu

Kujivua gamba: Lowassa abadili mbinu

Filipo

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2011
Posts
9,347
Reaction score
5,553
Waziri mkuu wa kwanza wa serikali ya awamu ya nne na mbunge wa Monduli, Mh Edward Lowasa ameamua kuwaachia ccm yenyewe iamua hatima yake ndani ya chama hicho na wakati huo huo ameandaa watu wa kulia, kuzimia, kuandamana na wakumpokea kishujaa endapo ataondolewa kwenye nyadhifa kwenye chama hicho!
Source: Dira ya mtanzania
 
Assalam alleykum wanajamii. Mie mgeni jamani napita tu kuwasalimia magamba. Inshallah navuta kasi ntarudi.
 
wewe na Dira wote waduanzi..jembe haliezi fanya ujinga huo,yeye ndo CCM wakimfukuza mgombea urais atatoka wapi!aU CCJ
Jf imevamiwa.. Mkuu tunatakiwa kuwa great thinkers hapa hatutumia maneno ya ovyo kama kule Facebook... Mwenzako kaleta hoja wewe unamwita mduanzi unamanisha nini mkuu? Au tusiewe wachangiaji kuogopa kutukanwa? Jibu hoja kwa hoja mbona unajidhalilisha mkuu huoni jamaa wamesha weka data zako hapo?
 
kulivua gamba la yule mhindi ilikuwa ni simple,lakini huyu patachimbika,hata chenge ni rahisi kumvua,EL ni mtu wa vinyongo sana
 
Hii sinema tamu sana...Kweli siku Lowassa anatangaza kujivua gamba ujue siasa za Tz zitabalisha mwelekeo mzima mana huyu jamaa kule ccm ananguvu sana hata sisi anti-magamba tunalitambua hilo...siku hiyo ccm itapasuka mara 3, ya jk, ya lowassa na ya ccj hapo ndio CDM tutakapo tangaza ushindi...
 
Anaesema Lowassa kaandaa watu wa Kulia,kuzimia na Kuandamana anachekesha!
Mie mkweche niliwahi pitapita Monduli Taswira ya Lowassa Jimboni kwake na kwenye Magazeti ni Tofauti ila mbaya!
Kule ni Laigwanani Mkuu anakubalika na ana haki ya kukubaliwa kwani anawajali waliomchagua kwa Matendo!
 
mimi nina wasiwasi na taarifa hii maana hili gazeti siliamini kabisa inawezekana ni kuchafuana tu,EL ndo mgombea uraisi ajaye ila ni chama gani sijui,inaweza ikawa ccj,cdm au nccr
 
kulivua gamba la yule mhindi ilikuwa ni simple,lakini huyu patachimbika,hata chenge ni rahisi kumvua,el ni mtu wa vinyongo sana

si kinyongo tu, wengi ndani ya chama wanaamini kuwa alifanyiziwa kutokana na siasa za makundi na kuchafuana ndani ya ccm AND THAT MAKES HIM TO PROUD AND PRIDED KUMTAFUNA YE YOTE ATAKAYEONEKANA KUWA KIKWAZO.
 
Bado huwa sijalielewa gazeti hili la dira... Ni nani mmiliki wake? Nini mrengo wa gazeti hili? Na kwanini kila kukicha liko uso kwa uso na lowassa halafu ndani unakutana baadhi ya makala vikim praise eddo!!!!!

Jambo leo ni la ridhiwan na linafanya kazi sawa na uhuru na habari leo, new habari ni pro-lowassa and team, raia mwema anti lowassa, mwanahalisi-anti lowassa ....

Nisaidieni hili la dira lina safari ipi kimuelekeo....?
 
Waziri mkuu wa kwanza wa serikali ya awamu ya nne na mbunge wa Monduli, Mh Edward Lowasa ameamua kuwaachia ccm yenyewe iamua hatima yake ndani ya chama hicho na wakati huo huo ameandaa watu wa kulia, kuzimia, kuandamana na wakumpokea kishujaa endapo ataondolewa kwenye nyadhifa kwenye chama hicho!Source: Dira ya mtanzania
Unajua hili Gazetti la Dira sijui kama mhariri wake huwa anahangaisha ubongo wake kutafuta habari,wanakaa kwenye korido wanatunga habari,Lowwassa hawezi kuikimbia ccm,ni chama chake na nakuhakikishia anakubalika kuliko unavyojua,acheni umbea nyie Dira,Lowwassa ni jembe na mnamuogopa ndo mana kutwa mnamwandika,tuachieni Mzee wetu Nyambafu zenu.
 
Bado huwa sijalielewa gazeti hili la dira... Ni nani mmiliki wake? Nini mrengo wa gazeti hili? Na kwanini kila kukicha liko uso kwa uso na lowassa halafu ndani unakutana baadhi ya makala vikim praise eddo!!!!!Jambo leo ni la ridhiwan na linafanya kazi sawa na uhuru na habari leo, new habari ni pro-lowassa and team, raia mwema anti lowassa, mwanahalisi-anti lowassa .... Nisaidieni hili la dira lina safari ipi kimuelekeo....?
Dira linamilikiwa na mzanzibari kwa hiyo mara nyingi hujikuta hawana pa kuegemea kwa sababu ya selikari ya umoja wa kitaifa znz ingawa kabla ya hapo walikuwa anti CCM.
 
Kama angekuwa anakubalika sana ndani ya ccm, basi hakuwa na sababu ya kufanya hayo maandalizi. Eti kama akifukuzwa basi wawepo watu wa kulia na kuzimia!? Na hii inaonekana ni kaujanja cha kuonyesha kukubalika na ndio hayo tuliyaona kwa RA. Hata alipojiuzulu u PM, aliandaa sherehe kubwa ya mapokezi na magari ya skandinavia yakapakia watu bure hadi kwenye eneo la tukio. Ile haikuwa na waliaji wala wazimiaji, wakaishia kusema eti kaonewa na mpango wakuwaondoa wamasai serikalini. Emanuel Ole Naiko akasisitiza kuwa ni kweli. Huu ni upuuzi ambao lazima tukishaujua tuwapuuze na sio kuwa upande wao maana sisi ndio tunaoonekana wajinga kuliko wao!
 
Lowasa asikubali upuuzi wa kujivua gamba, akomae nao mpaka mwisho kama vipi wakimtosa wao basi atimize ahadi ya kumwaga ugali, tunasubiri kwa hamu hilo chezo.Mwisho wa ubaya ni aibu wametusumbua sana hawa wajinga sasa wacha watoane roho wenyewe kwa wenyewe, Mungu amesikia kilio chetu wadanganyika.Naisubiri kwa hamu siku Lowasa na best wake JK wakiwa wamevaa zile uniform za rangi ya chungwa.
 
hakuna kitu kama hicho,jamaa sijui kama atatoka ccm.ww angalia kila siku wanaleta habari nyengine za awa mapacha watatu na wale wa ccj
 
Back
Top Bottom