Habar zenu wanajamii wenzangu.
Mimi ni kijana nliyemaliza masomo yangu ngazi ya stashahada,
Naomba kuliza kuna tetesi nimeziskia kama wanajeshi wanaanza kuandikisha kupitia mikoa je huu ni ukweli, na kama ni kweli utaratibu unaotumika ni upi?
Please naombeni majibu kwani mwenzenu nina hamu na mapenzi makubwa ya kutaka kujiunga na JWTZ.
Mimi ni kijana nliyemaliza masomo yangu ngazi ya stashahada,
Naomba kuliza kuna tetesi nimeziskia kama wanajeshi wanaanza kuandikisha kupitia mikoa je huu ni ukweli, na kama ni kweli utaratibu unaotumika ni upi?
Please naombeni majibu kwani mwenzenu nina hamu na mapenzi makubwa ya kutaka kujiunga na JWTZ.