Saiv kinaitwa NUT sio NIT kimepanda hadhi.Habari za muda huu wana jukwaa!!
Nimeangalia website ya chuo cha usafirishaji naona haijaruhusu maombi ya kujiunga na chuo mwak 2018/2019
Ni kweli hawajaruhusu maombi ya kujiunga na chuo kwa upande wa diploma au mm nachanganya madesa..hebu nijuzeni bandugu mana naona muda umepita.
Asanteni.
Kirefu chake pleaseSaiv kinaitwa NUT sio NIT kimepanda hadhi.
Kuhusu suala la maombi sina uhakika.
Kimepandishwa hadhi saivi ni university.Kirefu chake please
Ndio kirefu chake hiki?Kimepandishwa hadhi saivi ni university.
National University of Transport.Ndio kirefu chake hiki?
National University of Transport.
Ushauri wangu usiombe wala kukifikiria hicho chuo,Habari za muda huu wana jukwaa!!
Nimeangalia website ya chuo cha usafirishaji naona haijaruhusu maombi ya kujiunga na chuo mwak 2018/2019
Ni kweli hawajaruhusu maombi ya kujiunga na chuo kwa upande wa diploma au mm nachanganya madesa..hebu nijuzeni bandugu mana naona muda umepita.
Asanteni.
Mkuu toa sababuU
Ushauri wangu usiombe wala kukifikiria hicho chuo,
Utaja juta
Kwamba university siyoSaiv kinaitwa NUT sio NIT kimepanda hadhi.
Kuhusu suala la maombi sina uhakika.
NendaDoh hata kwa kozi ya automobile engineering??