Na Kingunge kwa umri wa zaidi ya miaka 82 aliahidiwa nini?
kurudishiwa ubungo na familia yake waendelee kutupiga
Na Kingunge kwa umri wa zaidi ya miaka 82 aliahidiwa nini?
Mtu akitoka CCM ndo anakuwaHivi wewe hujuwi kuwa Kingunge ni mkuu wa wachawi Tanzania?
Bado unauliza.
Kila raia na kila mpiga kura ana maslahi anayotafuta katika nchi yake. Kwanza maslahi yake binafsi na familia yake, pili maslahi ya taifa kwa ujumla wake. Kama wewe huna maslahi unayotegemea basi una tatizo.Hana maslahi tena CCM.Kama ni UBUNGO Kashatemwa.Alimtegemea Lowassa lakini sasa ndiyo hivyo tena. 1.Mimi naomba kuuliza kuhusu Msimamo wa Kingunge katika KATIBA PENDEKEZWA 2.Swali kwa Sumaye,Kingunge na Lowassa.Watuambie Je,Uchaguzi Mkuu wa 1995,2000,2005 na 2010 ulikuwa HURU Na wa HAKI??
Ndugu Wanabodi,
Suala la kujitoa kwa ndugu Mwapachu CCM na kudai Kuwa ati CCM siyo mamake, siyo suala geni. Wafukunyungu kama sisi tulilifahamu hili sikunyingi na tulisubiria litokee. Wengine bado wapo an watafuata siku si nyingi!
Kama alivyoeleza yeye binafsi, Mwapachu alikuwa ni TeamLowassa , Lowaasa akiwa bado yuko CCM. Mwapachu ni miongoni mwa makada wa CCM waliokuwa wakigawa fedha za Lowassa pale DODOMA. Mwapachu alikuwa ni miongoni mwa walioratibu msafara wa vijana waendesha bodaboda walioendesha pikipiki hadi Dodoma kumuomba EL agombee Urais. Ni Mwapachu huyu huyu aliandaa (kwa kushirikiana na Team Lowassa) CV za watakaowekwa katika nafasi mbalimbali mara EL atakapotinga Ikulu kupitia CCM.
kubwa zaidi na kilichofanya ajitoe CCM, Balozi Mwapachu ameahidiwa na aliahidiwa nafasi ya UWAZIRI WA MAMBO ya NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA. Tunalifahamu hili na list nzima ya Walioahidiwa Ukuu wa Mikoa, Wilaya, Wizara, Ubalozi, na Ukatibu Mkuu ipo.
Ninachotaka kuwaambia ni kuwa hao wanaotoka CCM siyo kwa sababu wanataka MABADILIKO YA KWELI in kwa sababu wanafuata maslahi. Wanaotaka mabadiliko ha kweli walikuwa CDM tangu hata kabla ya uchaguzi mkuu kuanza. Kuweni makini mnaposhabikia wanaojiondoa CCM muda huu wa kampeni Zambia lala salama!
nawasilisha.
Na Kingunge kwa umri wa zaidi ya miaka 82 aliahidiwa nini?
aliahidiwa Ushauri wa Rais masuala ha Siasa!
aliahidiwa Ushauri wa Rais masuala ha Siasa!
Muda wa ugeugeu haufiki kamweHakuna wa kushindana na mabadiliko muda wake ukifika..Na ili kuweza kukitoa chama tawala madarakani ndiyo hiyo kipasuke, kimeguke hadi wabaki wa5 tu...
ccm kwisha kabisa ukawa tunahakikisha tunamtumia kikamilifu mwapachu and co. kuikamata zone ya tanga na pwani ya mashariki
alafu tutamtumia mzee kingunge kuikamata zone ya mtwara lindi na pwani ya kusini,
sumaye kanda ya kasikazini mashariki,
lemmbeli na bulaya kanda ya ziwa,
mzee msindai kanda ya kati,
mwandosya na mungai kanda ya nyanda za juu kusini-
25 october tumemeliza kazi
Mkuu hao wanao sema hivyo ndio akina February ambao ndio washauri wa ccm unategemea nini hapo lazima ccm ife na ndicho kinacho tokea ccm ilikuwa inataka kubadilishia gear angani ikashindwa sasa imepotea kama ile ndege ya Malaysia ambayo haijuliakani ilipotelea wapi siku zote mawazo ya wazee ni alimasi leo ccm wameacha kuchukiwa mawazo ya wazee ambayo ni alimasi wana chukuwa mawazo ya kina February ambayo ni chuma !!Mtu akitoka CCM ndo anakuwa
1. Fisadi
2. Mchawi
3. Mwizi
4.......
Ndugu Wanabodi,
Suala la kujitoa kwa ndugu Mwapachu CCM na kudai Kuwa ati CCM siyo mamake, siyo suala geni. Wafukunyungu kama sisi tulilifahamu hili sikunyingi na tulisubiria litokee. Wengine bado wapo an watafuata siku si nyingi!
Kama alivyoeleza yeye binafsi, Mwapachu alikuwa ni TeamLowassa , Lowaasa akiwa bado yuko CCM. Mwapachu ni miongoni mwa makada wa CCM waliokuwa wakigawa fedha za Lowassa pale DODOMA. Mwapachu alikuwa ni miongoni mwa walioratibu msafara wa vijana waendesha bodaboda walioendesha pikipiki hadi Dodoma kumuomba EL agombee Urais. Ni Mwapachu huyu huyu aliandaa (kwa kushirikiana na Team Lowassa) CV za watakaowekwa katika nafasi mbalimbali mara EL atakapotinga Ikulu kupitia CCM.
kubwa zaidi na kilichofanya ajitoe CCM, Balozi Mwapachu ameahidiwa na aliahidiwa nafasi ya UWAZIRI WA MAMBO ya NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA. Tunalifahamu hili na list nzima ya Walioahidiwa Ukuu wa Mikoa, Wilaya, Wizara, Ubalozi, na Ukatibu Mkuu ipo.
Ninachotaka kuwaambia ni kuwa hao wanaotoka CCM siyo kwa sababu wanataka MABADILIKO YA KWELI in kwa sababu wanafuata maslahi. Wanaotaka mabadiliko ha kweli walikuwa CDM tangu hata kabla ya uchaguzi mkuu kuanza. Kuweni makini mnaposhabikia wanaojiondoa CCM muda huu wa kampeni Zambia lala salama!
nawasilisha.
kwa maelezo yako haya Mwapachu alipaswa kuwa segerea au ukonga wakati huu kama jirani yangu Saidi Ndanje aliyehukumiwa miaka mitano (5) kwa wizi wa baiskel tu. sasa kama mwapachu ameihujumu serilikali kihasi hicho na bado yupu uraiani utanifanya nikuulize maswali mengi mno kuhusu serilikali yako ya ccm
kumbe lowassa atakuwa rais!!!Ndugu Wanabodi,
Suala la kujitoa kwa ndugu Mwapachu CCM na kudai Kuwa ati CCM siyo mamake, siyo suala geni. Wafukunyungu kama sisi tulilifahamu hili sikunyingi na tulisubiria litokee. Wengine bado wapo an watafuata siku si nyingi!
Kama alivyoeleza yeye binafsi, Mwapachu alikuwa ni TeamLowassa , Lowaasa akiwa bado yuko CCM. Mwapachu ni miongoni mwa makada wa CCM waliokuwa wakigawa fedha za Lowassa pale DODOMA. Mwapachu alikuwa ni miongoni mwa walioratibu msafara wa vijana waendesha bodaboda walioendesha pikipiki hadi Dodoma kumuomba EL agombee Urais. Ni Mwapachu huyu huyu aliandaa (kwa kushirikiana na Team Lowassa) CV za watakaowekwa katika nafasi mbalimbali mara EL atakapotinga Ikulu kupitia CCM.
kubwa zaidi na kilichofanya ajitoe CCM, Balozi Mwapachu ameahidiwa na aliahidiwa nafasi ya UWAZIRI WA MAMBO ya NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA. Tunalifahamu hili na list nzima ya Walioahidiwa Ukuu wa Mikoa, Wilaya, Wizara, Ubalozi, na Ukatibu Mkuu ipo.
Ninachotaka kuwaambia ni kuwa hao wanaotoka CCM siyo kwa sababu wanataka MABADILIKO YA KWELI in kwa sababu wanafuata maslahi. Wanaotaka mabadiliko ha kweli walikuwa CDM tangu hata kabla ya uchaguzi mkuu kuanza. Kuweni makini mnaposhabikia wanaojiondoa CCM muda huu wa kampeni Zambia lala salama!
nawasilisha.
Haki ya mungu ccm inapata laana zote hizi baada ya kuwa zarau wazee na kuanza kuwatumia watoto wachanga kabisa kuwatukana wazee eti leo hii February na napo ndio washauri wa ccm hii laaana ndio inayo angamiza ccm leo wazee ndani ya ccm wamekuwa watu wakutukanwa watu wakuonekana hawana busara wala hekima badala yake hawa vijana ndio wenye busara na busara zao nikuwatukana wazee hii ni hatari siyo kwa ccm tu bali ata kwaustawi wa maadili ya jamii yetu sijuwi ccm mnaifundisha nini jamii ya Watanzania juu ya wazee!!?
Leo hii tunashuhudia vijana wadogo sana waliyo pewa nafasi ndani ya ccm wakiwatukana wa asisi wa chama sijuwi hii akili na haya maarifa wanayatowa kwenye sayari gani!?
Kijiko ni kijiko tu hakiwezi kuwa chepe !!!
Na Kingunge kwa umri wa zaidi ya miaka 82 aliahidiwa nini?
sasa usawa ukowapi hapo? kama wengine wanafikishwa mahakamani on the spot ila wengine tunaambiwa hakuna deadline?Hilo halina deadline, hukumsikia Mwakyembe?