Kujirembua kupita kiasi!

Kujirembua kupita kiasi!

Askari Kanzu

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2011
Posts
4,596
Reaction score
1,236
Apa amna ubishi. Hao masupastaa wanaojifanya wanajua kujirembua apa mjini hawawezi kukaribia hii dizaini!

560587_4685831502667_214325911_n.jpg
 
mmmmh.. huyu mama inabidi awe anaenda kuchoma ile kitu ya tetanus kwa mpango maana akiskip tu amekufa..! manake kavaa silaha uko juu..! kweli kukosa hela na kutafuta fitting other options mzee unaweza kupaka mavi ya n'gombe unajua...!!!!!
 
angalieni macho kama ya wale wabibi wa shinyanga
 
Hapa shunusi atazisikia kwenye bomba 2 s h amon hapamuhusu
 
Apa amna ubishi. Hao masupastaa wanaojifanya wanajua kujirembua apa mjini hawawezi kukaribia hii dizaini!

560587_4685831502667_214325911_n.jpg
Kumbe huyu ndiye mwizi wa saa yangu ya disco? Enzi hizo saa kama hiyo nimpaka uende Kenya bongo haipatikani.
 
Back
Top Bottom