Kujifunza lugha ya Kiswahili - Arusha

Kujifunza lugha ya Kiswahili - Arusha

BelindaJacob

Platinum Member
Joined
Nov 24, 2008
Posts
6,494
Reaction score
4,079
Hello G/thinkers,

Nauliza eti ni sehemu gani au chuo kitambulikacho na kinachofundisha lugha ya Kiswahili mji wa Arusha?

Naweza kupata mawasiliano yao mf. tovuti, barua pepe, namba ya simu au/na anuawi ya hizo sehemu.

Asante sana,
BJ
 
Duh BelindaJacob bado unawashughulikia wale wageni wako.

Kuna chuo kizuri sana kinaitwa MS Training Centre for Development Cooperation kinafundisha kiswahili katika level zote kipo nje kidogo ya mji wa Arusha maeneo ya Tengeru/Usa River kinamilikiwa na waDenish.Wageni wengi wanapenda kujifunza hapo kwasababu ya mazingira mazuri na uzoefu wa zaidi ya miaka 30.Email yao mstcdc@mstcdc.or.tz unaweza kutembelea web site www.mstcdc.or.tz .

Natumaini nitakuwa nimekusaidia kidogo.
 
Last edited by a moderator:
Duh BelindaJacob bado unawashughulikia wale wageni wako.

Kuna chuo kizuri sana kinaitwa MS Training Centre for Development Cooperation kinafundisha kiswahili katika level zote kipo nje kidogo ya mji wa Arusha maeneo ya Tengeru/Usa River kinamilikiwa na waDenish.Wageni wengi wanapenda kujifunza hapo kwasababu ya mazingira mazuri na uzoefu wa zaidi ya miaka 30.Email yao mstcdc@mstcdc.or.tz unaweza kutembelea web site www.mstcdc.or.tz .

Natumaini nitakuwa nimekusaidia kidogo.

Yaani acha tu Ngongo. bado nawashughulikia, watu powa sana nimefanya nao kazi threee years.

Asante kwa hii information nzuri, nitaifikisha kama ilivyo..pia siku nikitinga Arusha nitakushtua mkuu, mid-yeah hivi itakuwa..

Jioni njema..cheers!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom