Stratroni kimario
Member
- Oct 10, 2023
- 26
- 42
- Thread starter
- #61
Na kuna mshkaj alipata gpa ya 4.6 lugalo hapa form four dv 3 na alipata muhas now anatarajia kuingia second year, na Mambo yanaenda vizur na mkopo alipata , ni mipango ya Mungu tuUsiende acha kukaza kichwa eti utamtegemea Mungu kwani wengine watamtegemea shetani. Nenda vyuo vingine kwanza uwezekano wa MUHAS kukuchagua ni mdogo.
Unajua kwanini vyuo huwa vinalimit intake ya kutoka diploma? Sababu ni hizo GPA zenu, na MUHAS ndio kabisa wanatoa nafasi chache zaidi kwa diploma