Njomba Mmakonde,
Alikukataa nini akamfuata huyu naniliu!, mbona unamsakama mwana wa mwenzio akiwa katika ndoa mbiiichi bado!..Unataka atemwe nini mzee uchukue?
Anyway, tabia hii ya dada zetu imekuwa ndo fashen kwa sasa..!Lakini nasi wanaume tujiangalie, iam afraid that we men prefer the ladies with that artificial color!
Lakini, in a nutshell, they are killing themselves slowly!