Kujichua Vs Uzinifu πŸ€”

unataka kusemaje?,,

alaf wew sindo ulisema huwa hauna usingizi usiku nikasema nitakuita usiku wa manane ukawe unajichatisha mpaka upitiwe,,, enweiiii kama nimekosea am soreee sirudii nimekoma mimi win one nimekoma
Nitakuja bhana Hutaniwi na wewe?

Nitakuja wake zangu wewe na Seran tufanye online threesome!
 
kuanzia leo sisi sio marafikiπŸ˜… kwanza hatujawahi kuwa marafiki sijui ilikuaje tukaanza kuquotiana😏😏
I see yah, I see yah, unataka tuanze kale ka mchezo, ka hard to get sio...

Mimi nakupendaa tu rafik, unichukie hio ni juu yakoo, (upendo is all we got)
 
I see yah, I see yah, unataka tuanze kale ka mchezo, ka hard to get sio...

Mimi nakupendaa tu rafik, unichukie hio ni juu yakoo, (upendo is all we got)
ndo ka mchezo kapi hako? hebu nifafanulie

we nipende tu ila mi napenda zangu kamongo, we de Gunner nikuchukie do I know you?πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… ,, mi sijui kama upo seriou au unatania ila mi sijui kuweka vitu moyoni bro labda chuki uje nayo wew
 
Nimesoma comments mpaka nimesahau mada ilikua nini, ila ni mambo ya nyeto na kula/kuliwa mzigo.

Maisha ni mafupi sana pungezeni kujilimit sana.

Dhambi ni mtazamo.
 

Sasa skia win-one mimi kama introvert nisiye na maneno mengi, natambua sisi ni marafiki, tena bond yetu ni kali sana, uliyakanyaga kuni befriend. Endelea kupiga kelele tuu. Kamongo kiachie kinywa na tumbo
 
Sasa skia win-one mimi kama introvert nisiye na maneno mengi, natambua sisi ni marafiki, tena bond yetu ni kali sana, uliyakanyaga kuni befriend. Endelea kupiga kelele tuu. Kamongo kiachie kinywa na tumbo
umenambia napiga kelele? Yesu πŸ€”πŸ™Š mimi hapa eheeeeeeee una bahati upo mbali maan ungezitambua kelel zangu vizuri 🀨🀨
 
Hili ni suala ambalo mitazamo yake hutofautiana kulingana na dini, maadili, utamaduni na imani binafsi za kila mtu. Kwa upande wa dini nyingi, uzinifu hukatazwa waziwazi, huku baadhi ya madhehebu yakitofautiana kuhusu kujichua. Kwa watu wasiokuwa na msimamo wa kidini, mara nyingi jambo huangaliwa zaidi kwa misingi ya ridhaa, afya, usalama na athari kwa mhusika au wengine.

Kwa mtazamo wangu, ni vigumu kuweka jibu moja linalowafaa wote. Mtu anapaswa kuzingatia imani zake, maadili yake na matokeo ya kitendo husika. Kilicho muhimu ni kufanya maamuzi kwa uwajibikaji, kuepuka kumdhuru mtu mwingine, na kuheshimu misingi anayoiamini.
Blue Monday πŸ’™πŸ’™πŸ’™πŸ’™ for everybadi
 
Nadhani hii dunia tunaishinmuda mchache Sana hauhitaji kucomplicate Sana maisha. Suala la dhambi ni mtazamo tu na ni Sheria ambazo tumejuwekea au uoga tuliojiwekea ili kupunguza maovu.

Jaribu kuangalia anga lote nyakati za usiku hizo nyota na makorokoro yote ni baadhi tu ya Mambo yaliyoumbwa na Mungu na yote hayo pamoja na kuwa tunayaona kwa uchache tu lakini yako kwenye galaxy moja ya milk way na unaambiwa kuwa Kuna zaidi ya galaxy bilioni moja. Kwahiyo Mungu hawezi kuumba vitu vyote hivyo afu aje akuue kwa moto kisa tu umezini au umejichua.

Ni wewe tu kuamua ujichue au utafute mtu mzagamuane japo hayo yanategemea gharama pia, kumla mtu ni Bora zaidi maana mnapata na muda wa kubadilishiana mawazo japo ni gharama ila kujichua ni one man show Haina gharama lakini pia hainogi Sana.
 
Kwa muujibu wa biblia Uzinifu na uasherati nidhambi lakini sio punyeto.
Lakini punyeto inatakiwa ifanywe kwa kiasi maana inaathari sana kwa mtu akishakua mlevi wa hilo jambo.
Kwa mtu aliye single sio vibaya kujichua mara mbili au tatu kwa mwezi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…